Lazima atishe,mtu aliyehonga pesa mpaka makanisani na misikitini,na wajumbe wa CCM zaidi ya nusu ili kukubalika Kwa uroho w madaraka ili aifanyie nchi ufisadi mkubwa kuwahi kutokea nchini,si ni mtu hatari anayetisha sana???.. Na anatisha zaidi ya unavyohisi,ndo maana CCM walimchinjia baharini.
Itabidi JF waanze kuulizia vyeti kabla ya kuwaunganisha watu humu.Kuna watu mnaonekana upeo wenu wa kufafanua jambo ni too low.Mnatupa tabu sana kuelewa maelezo yenu.
wala hatishi ila wanamsikitikia mauvo yake juzi nilikutana na mfuasi wake wa karibu wa lowasa nikamuuliza kuhusu lowasa akaniambia hana pesa imeisha unaona chadema ipo kimyaaa