Lowasa adhalilishwa

Lowasa adhalilishwa

Hili halukubaliki. Mbatia kumdhalilisha Lowassa No. No. No. Haiwezekani Mbatia ambaye si mgombea urais, atake mdahalo ufanyike ukimjumuisha yeye na sio Lowassa. Yeye Mbatia ni Nani? Inamaana Lowassa hana uwezo au hajitambui? Ina maana Lowassa anaweza kushindwa kujibu hoja au kumwaga sera? Ina maana Lowassa ni mgonjwa sana mpaka kushindwa kuhudhuria mdahalo?Mbatia acha kumdhalilisha Lowassa. Wewe ni kichuguu tuuu.

Wacha kutokwa mapovu ya kinafiki wewe, sitta alipoomba mdahalo na Lowassa yeye ni nani? Lowassa anapambana kuomba kura, wacha mbatia amwakilishe..!!
 
Hili halukubaliki. Mbatia kumdhalilisha Lowassa No. No. No. Haiwezekani Mbatia ambaye si mgombea urais, atake mdahalo ufanyike ukimjumuisha yeye na sio Lowassa. Yeye Mbatia ni Nani? Inamaana Lowassa hana uwezo au hajitambui? Ina maana Lowassa anaweza kushindwa kujibu hoja au kumwaga sera? Ina maana Lowassa ni mgonjwa sana mpaka kushindwa kuhudhuria mdahalo?Mbatia acha kumdhalilisha Lowassa. Wewe ni kichuguu tuuu.

Kipndi chote chanyuma mlikua hamtaki leo mnatak. Duuuu!!!! Mumebanwa eeehhh hali so nzr eeehhh. Sisi tushapga kura ww subilia ukiapishwa tu muombe mdahalo kwa sasa yuko bize kuwapa wanchi wake sera za elimu bule.
 
Back
Top Bottom