π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nina machozi mengi Leo...Usikimbilie kulia π€£π€£π€£
Wenzio tushazoea hekaheka mpk za ban
Naomba tulia kwanza tumalize kumuapisha rais πππ
Ila dada unatunyanyasa wambeaaππππ
Machozi huku unacheka πππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£Nina machozi mengi Leo...
Basi mbebe mkatafute watoto πππKwanini isiwe chumbani ?
Oooh ole wake muasi yeyote amnyatie Wizzy atakula bomu la nyuklia kama la HiroshimaaNaomba tulia kwanza tumalize kumuapisha rais πππ
Mwenzio napewa mambo ya nje, full kuswampa na kuchafua passport π€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Utakuwa unanilindia wizzy π€£π€£
Atakayemnyatia nimekuruhusu mripue π€£π€£π€£Oooh ole wake muasi yeyote amnyatie Wizzy atakula bomu la nyuklia kama la Hiroshimaa
Maua mbona Leo hatujuliani Hali jamani?Ukiona yanakwama kuna mtu anavitu vyako hawezi kukuloga kama hana vitu vyako
Na wewe ukibet huwaga hubahatishi
Nina hamu ya kulia maana upande wenu mlivyo wehu uwiiii π€£Machozi huku unacheka ππππ
Wewe ni Pisi Kali Mjukuu, huwezi kukosaMwenye Kisu kikali π€ π€ π€ π€ !
Mi mbona ntakosa nyama kabisa sasa lol!
π€£π€£π€£π€£ Ila udugu unanifanya mbavu zinauma
View: https://youtu.be/_FAuveOm2u8?si=_njx6Bq3MKb6LfKq
Enjoy your noon guys
I wanna spend the rest of my life with you Smart911
Babu jau ww.!! Wakati na ww ulikuwa unalitolewa macho zigo πππWewe ni Pisi Kali Mjukuu, huwezi kukosa
Hukumbuki posa zilivyomiminika kwaajili yako, Tena Wanaume wenye ng'ombe 200 na zaidi π€, isingekuwa Wazee kusimama upande wa Smart huenda angekukosa π
ππππ Mashambulizi mnaanza saa ngapi?? Coca anataka aanze kupanga kikosiNina hamu ya kulia maana upande wenu mlivyo wehu uwiiii π€£