Loving you Mahondaw

Shemeji yako yule ooh!! Yule hakuwa vile mchugga yule, sema kapenda mzaramo ndio hivyo nisipokuwepo anatoa summary sio shida zake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

hahahaa nilipewa woningi mapema kabisa dyadya[emoji23][emoji23] alf alisema yeye hamuogopi mtu yyte huku ko issue kama anaifahamu hawez kushindwa kusema kikubwa awe kwenye mudi[emoji38][emoji38]
 
hahahaa nilipewa woningi mapema kabisa dyadya[emoji23][emoji23] alf alisema yeye hamuogopi mtu yyte huku ko issue kama anaifahamu hawez kushindwa kusema kikubwa awe kwenye mudi[emoji38][emoji38]
Mi sipindui naua kabisa atakayemsogelea baby wangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yule mtata ndivyo alivyo, jeshi la mtu mmoja
 
Shogaangu punguza umbea πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Ila bora umetoa summary Kuna vitoto vya chuo humu vimejiunga jf juzi wasijeruka na shem wetu
Tutawaotesha mabushaa
Mi mkinga sijaribiwi 🀣🀣🀣
Moyo wangu uko pale ooh!!
Ila umbea wa leo mtraaamuu.!!
Bado valentine nasubiri nione wapendanao miye
 
Halafu nahisi Smart911 ana hela hela manake hanaga maneno mengi
Akishaweka english zake za hapa na pale anayejibu comments ni Mahondaw πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Divisheni ofu leba
πŸ˜‚πŸ˜‚

Hii kama ulipitia CIA kwa mujibu ni rahisi kuligundua
Njemba smart hainaga maneno mengi

Angesema tatizo watu wabishi

Angezama zake kipande ya fyade akarauree mitaa ya mambali huko😁
 
Mko spidi sana aseee nishazeeka mie kureply fasta siweziiiii!πŸ˜›


Thank you for choosing me Smart911 pamoja na mapungufu yakooo yooote najua na nina uhakika wanawake wengi sana wanakukubali tena wazuriiiii waremboooo wa so called mujini yess wanajiita wa mujini but you chose and come back to your kimimiiiiiiπŸ˜ŒπŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•πŸ’•!

What a blessing!!

Zile vuruguuu maneno yote kuhangaikaaa kuzunguka ni results ya maumifuuuuuu you caused me mpenzi wangu I was so hurt



I'm so sorry babeeee πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜ŒπŸ˜Œ!

Love you smart wanguuu!
 
jamn dada ndo uanze kututisha mapema yote hii[emoji38][emoji38][emoji38] kizuri kula na nduguyo bwana,, mbon wakina nanii walishare na bado wanavuta hewa safi na life linasonga
Hapaaaaaaaanaa (in mkojani voice)
Kushare hiyo kwiyoo.!!🀣🀣🀣
Kwann usiende kushare story ya maisha yako kwa Mange ulipwe pesa???
Mi SITAKI narudia tena mi mkinga ooh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Sasa mbona hujibu maswali ya msingi madam?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…