Habari wanajamvi,
Natarajia kuamia Mtwara mjini kikazi ningependa kupata msichana/mdada anaeishi mMwara awe rafiki just a company ikibidi tuwe wachumba vigezo umri miaka 26-30 elimu yoyote awe mfanyakazi wa taasisi yoyote ya serikali, kabila lolote awe mkristo urefu saizi ya kati.
Kama upo tayari ni PM