[emoji23][emoji23][emoji23]Yesu wa nazareth?[emoji1756]
Upuuzi wa hali ya juu .Mapenzi sometimes ni upuuzi sana.
Haha! Kupigwa lazimaTunapigwa sana wauni[emoji23][emoji23]
Haha! Kupigwa lazimaTunapigwa sana wauni[emoji23][emoji23]
Unatafuta Ugomvi na Ndugai, Yesu anafamilia yake na ameshaoa Ndugai ndio mshenga[emoji3]Me ndio maana niko busy kumpenda Mungu wa mbingun tu[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]harusi ni moja tu ya mwana kondoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndugai ana wengeUnatafuta Ugomvi na Ndugai, Yesu anafamilia yake na ameshaoa Ndugai ndio mshenga[emoji3]
Umeandika Kisela We Mama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti Tukio Maridadi sanaMzee umepigwa tukio nini
Mapenzi yanatesa mno kudadeki
Kuna mjinga nilimpenda akaniwasha tukio maridadi sana[emoji16]
Mapenzi yakikuda mno
Huwezi mpenda Mungu kama hupendi binadamu wenzio unao pigana nao vikumbo hapa duniani, labda unampenda mzungu wa mbuguni.Me ndio maana niko busy kumpenda Mungu wa mbingun tu[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]harusi ni moja tu ya mwana kondoo
Mzee umepigwa tukio nini
Mapenzi yanatesa mno kudadeki
Kuna mjinga nilimpenda akaniwasha tukio maridadi sana[emoji16]
Mapenzi yakikuda mno
Kuna wakati napenda maisha ya kisela 😁😁Umeandika Kisela We Mama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti Tukio Maridadi sana
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Kuna mmoja huyo katika harakati za kuto kunielewa akaniambia usinitafute tena😁😁nikamwambia twende tukapige beer tufurahie kibuti.Hahhaaaa siku hizi sijui napendaje yaani mtu akiwa close na mimi nampenda hatari akitoka tu nawaza hela
Yaani hata akisema it’s over najibu tu ok [emoji23][emoji23][emoji23]