MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,394
Tito town kitambo,hapa akibadilishana mawazo na Kanumba
Mbona kama Photoshop!!!Tito town kitambo,hapa akibadilishana mawazo na Kanumba
View attachment 1412607
😂nimecheka sana, kwamba tito anakuzidi mwendo, ila alishasema kaanza kuliwa toka miaka hiyo ya 90 labda hata wakati huo wewe ulikua hujui hayo mamboHuyu jamaa ni shidda aisee!!
Niliwahi kumuona maeneo ya Moroco anaenda kupanda mwendo kasi aisee aliniacha na mawazo sana ile siku mana dume yule anatembea kwa mikogo wanawake tukasome na hapo ana bible mkononi huku amevaa ile kama kanzu na rozari shingoni , masikioni ana hereni tena imeshuka inakaribia kufika shingoni. Lol.
Unadhani Mkuu mie simuingii hata robo kwa namna anavyotembea mana akitembea anajimwaga mwaga acha tu.😂nimecheka sana, kwamba tito anakuzidi mwendo, ila alishasema kaanza kuliwa toka miaka hiyo ya 90 labda hata wakati huo wewe ulikua hujui hayo mambo
Hapa akili zilikuwa hazijamtoka bado, naona hata rangi yake ya kuzaliwa alikuwa nayo bado.Tito town kitambo,hapa akibadilishana mawazo na Kanumba
View attachment 1412607
Na inaonekana hawakunawa mikono.wana zarau tamko la waziri.😁😁😁😁😁Wameshikana mikono wakati wizara ya afya imekataza ilo... Hawa ndo wanaeneza corona
Kitambo alikuwa kinyozi saloon moja kinondoniHuyu jamaa ni shidda aisee na najikuta tu nina mashaka na akili yake kama iko sawa.
Niliwahi kumuona maeneo ya Moroco anaelekea darajani kupanda mwendo kasi aisee aliniacha na mawazo sana ile siku mana dume yule anatembea kwa mikogo wanawake tukasome na hapo ana bible mkononi huku amevaa ile kama kanzu na rozari shingoni , masikioni ana hereni tena zimeshuka zinakaribia kufika shingoni. Lol.