Dorcas umeona wapi mwanamme anapangiwa eti must be Christian!
Mwanamme kamili hapangiwi kuamini katika dini ndo maana makanisani wamejaa wanawake na watoto.
Tukiachana na makosa ya ki grammar, jifunze kwanza matumizi sahihi ya your then mengine ndo yafuate wewe si umesema ni educated bhana.
Sent from my SM-J200H using
JamiiForums mobile app