Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,142
- 27,105
Tangazo si limeeleweka au wewe una shida na tangazo!?
Mie nimemuelewa vema mwanzo mwisho! Kwanza lazima tujuwe kuwa Kiingereza sio lugha yetu, hivyo sio issue hata mtu akikosea kuchoronga!
Kuna wengine huwa wanaona haya kuandika matangazo kama haya, kwaiyo ili kujisetiri anaamua kutumia japo lugha ngeni!
Pia kwa vigezo alivovitoa ni dhahiri hata lugha aliyoitumia ni chujio la watu wa kumfuata pm!
Lakini umemuelewa?Hivi kwa nini watanzania kiingereza kina tushinda hata kwa the so called educated one?
Hajampangia mtu bali anataka aliye mkristi tayari.Dorcas umeona wapi mwanamme anapangiwa eti must be Christian!
Mwanamme kamili hapangiwi kuamini katika dini ndo maana makanisani wamejaa wanawake na watoto.
Tukiachana na makosa ya ki grammar, jifunze kwanza matumizi sahihi ya your then mengine ndo yafuate wewe si umesema ni educated bhana.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hata hao waingereza kiswahili kinawashindaHivi kwa nini watanzania kiingereza kina tushinda hata kwa the so called educated one?