Mkuu naheshimu mawazo yako piaYani unatoa pesa kutapeliwa?
Asante mkuu nishasoma soma kama hicho forex bible na baby pips piaNingekushauru tu usome kwanza vitabu ndo utafute mentor kwa ajili ya kukubrash. anza na hivi
(1) forex bible
(2)naked forex na
(3)candle stick
shukran sana mkuu.Ingia www.ajiras.com kuna jamaa anajiita TechGuru anatoa mafunzo ya forex.
Yapo ya siku 8, 20 na siku 30.
Mcheki jamaa anayoa pindi fresh. View attachment 959784
kila la heri mkuu ila nikushauri usikubali kukatishwa tamaa forex inahitaji elimu na maarifa zaidi kuliko mtaji, pia UVUMILIVU ni muhimu sana sana na baada ya hapo mafanikio yatakuja tu bila kujali muda.Asante mkuu nishasoma soma kama hicho forex bible na baby pips pia
Mkuu haya mapindi ni online au physicalIngia www.ajiras.com kuna jamaa anajiita TechGuru anatoa mafunzo ya forex.
Yapo ya siku 8, 20 na siku 30.
Mcheki jamaa anayoa pindi fresh. View attachment 959784
Nadhani ni physical kwa mkazi wa dar, ila pia unaweza chat naye mtoa huduma mkapanga iweje.Mkuu haya mapindi ni online au physical
Asante mkuu nishasoma soma kama hicho forex bible na baby pips pia
Natoa mafunzo ya forex kwa wanaoanza - JamiiForumsWadau natafuta mentor wa forex ambaye yuko Arusha.Nataka nijifunze hii biashara.
NB:sitafuti kununua signals wala mtu wa ku manage account yangu,nataka kujifunza forex.