Adui Wa Dhambi
Member
- Jan 12, 2015
- 14
- 0
N/A
This is removed by the owner of the site
This is removed by the owner of the site
Hadi nimeifollow iyo link ya facebook ili nikakuone tu . . .
Kila la heri mkuu

That's reality...for sureMkuu mwanamke akishapata ujauzito tu...hizo measurements zako zote zita change...therefore they are meaningless
Ushauri....simama mbele ya kioo...jiangalie hivyo ulivyo....halafu jaribu ku lmagine wewe ni mwanamke jiulize unavutiwa na nini kwa huyo mwanaume umuonaye kwenye kioo... ....anzia hapo....UNAHITAJI COUCELLING wewe....nikipata muda nitakuandikia zaidi....
Inabidi akamchongeshe, maana sio kwa hadi kupima sidiria na maziwa....baba ana balaa huyu.......sijapata kuona.........
KaribuThat's reality...for sure
Wabongo mmezubaa sana mbona wengi tu Wapo Sema tu nyie mnakurupuka kuoa kwa sababu ya tamaa.Inabidi akamchongeshe, maana sio kwa hadi kupima sidiria na maziwa....
Yes, Ngafu. Am more than seriousNoma sana......mpaka CV umetengeneza inaonekana uko serious
Don't worry Miss, hizo zingine sio necessary.mkuu nipo interested ila liost ya vipimo haijakamilika like penis size,vaginal depth or diameter sijui? level of sperm etc mitaa ya chini hujaweka vipimo vyake