Longido: Katibu Mwenezi wa CHADEMA ahamia CCM

Longido: Katibu Mwenezi wa CHADEMA ahamia CCM

Mapema mno kuanza biashara hii!!! Any way nunueni kila kata walau watu 1000 kwa 5m, tuongeze mzunguko mtaani hali ni tete sana.
 
Mapema mno kuanza biashara hii!!! Any way nunueni kila kata walau watu 1000 kwa 5m, tuongeze mzunguko mtaani hali ni tete sana.
muache kujiuza kama ndio hivyo
 
Waambie wawaachie makamanda 20 wa Chadema Singida,kesi ya aibu eti tarehe 30 Oct waliandamana ,kesi uhujumu uchumi mawakala!!! Inaharibu sherehe kuapishwa mfalme.

DPP afute shauri waungane sherehe kuapishwa mkuu. ( Rejea ITV habari saa2 leo). Japo makamanda wameonyesha nyuso za furaha poz la tabasamu na alama ya vidole 2
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Waambie wawaachie makamanda 20 wa Chadema Singida,kesi ya aibu eti tarehe 30 Oct waliandamana ,kesi uhujumu uchumi mawakala!!! Inaharibu sherehe kuapiswa mfalme.DPP afute shauri waungane sherehe kuapishwa mkuu. ( Rejea ITV habari saa2 leo)
Ongeeni na makamanda wenu huko longido wawape siri ya kutokamatwa
 
Taarifa kutoka Wilayani longido mkoani Arusha ni kwamba katibu mwenezi na wanachama wake wa kutosha wamehamia CCM Tarehe 30 oktoba 2020.

My Take:
Hongera kwao kwa kujitambua.

Wamechagua maendeleo
Wacha twende pamoja na rais wetu John Pombe Magufuli
 
Taarifa kutoka Wilayani longido mkoani Arusha ni kwamba katibu mwenezi na wanachama wake wa kutosha wamehamia CCM Tarehe 30 oktoba 2020.

My Take:
Hongera kwao kwa kujitambua.
Wewe mshamba sana, hivi tanzania kuna watu 60million, kwa nini huwa mnajisumbua hivi kutangaza mtu kuhama, hao ndiyo wajinga wenzeni, time is coming when you will be crying!! There is time to laugh and there will be your time to cry!
 
Safari hii ndio watahamia CCM kama nzige na msishangae hata waandamizi wao wakahama.

Uchaguzi umeisha sasa tuijenge NCHI.

URT - JPM
SMZ- Mwinyi
 
Mapema mno kuanza biashara hii!!! Any way nunueni kila kata walau watu 1000 kwa 5m, tuongeze mzunguko mtaani hali ni tete sana.
Mlisema hivto kila mara huku jahazi linazidi kuzama.
 
Wewe mshamba sana, hivi tanzania kuna watu 60million, kwa nini huwa mnajisumbua hivi kutangaza mtu kuhama, hao ndiyo wajinga wenzeni, time is coming when you will be crying!! There is time to laugh and there will be your time to cry!
Hao wachache ndo wame waadhibu kisawa sawa, kwa wingi wenu mbona hamkushinda. Ukute katibya milioni 60 haobunao sema labda milion 5 tu ndo manaopinga wengine wote hawana shida.
 
Back
Top Bottom