Loneliness

Loneliness

oscar mwankina

Senior Member
Joined
Feb 10, 2013
Posts
187
Reaction score
118
Kuna nyakati na siku kama wiki hii huwa najisikia upweke kiasi kwamba naingiwa na roho yakujichukia na pia nakuwa mtu wa hasira sana.

licha yakuwa na elimu na kazi huwa mara nyingi huwa nakosa mtu wakuongea nae nikiwa home kiasi kwamba ikitokea hivyo hata kupika au kutazama TV nashindwa.

Isingekuwa kushika sana Dini na Mungu wangu ningejikuta nakunywa au kuzurula ili kupata kampany.

Loneliness knows my name.

Upweke unaathiri sana, Pia maumivi yake ni makubwa maana it's psychological torture.

Nakosa nguvu ya kuendelea.
 
M huwa nafrahi zaid nkiwa peke yangu, au nkiwa na mbebe wangu naona niko huru zaid... Nkichagiza na bundle la kutosha ata week naeza chili tu geto, na ndo maana napenda geto liwe zuri ili nisiboreke........,!

Japo sijawai kukosa company..

Sio mbaya kuwa alone, wala akuna atae kuuliza mkuu, kila mtu na maisha yake ila kama unaona ni shida kwako tafuta rafiki kwenye kijiwe cha biashara au duka kuabzia apo utapata marafiki wapya...... Au jishughulishe zaid kanisan utapata marafiki unaoshare nao vitu vingi zaid.
 
Yaani upo sawa.mara kadha nikimuona mtu kavaa Suit nilikuwa nadhania mtu huyo hana matatizo, duu kumbe utamkuta ana matatizo kuzidi hata yako
Usihofu utampata tu mpweke mwenzio mtoe upweke, kuna watu watafikiri wanaume/wanawake wote upweke unatoka wapi? kumbe mambo si kama wanavyo ya chukulia
 
Back
Top Bottom