Unatakiwa uweke hapa model ya simu...Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka lolipop 5.0.2 kwenda marshmallow..so mwenye link au anae weza nipatia link ambayo nitapata iyo OS Iwe ni official verified kutoka kwa agent anaye aminika e.g TECNO wenyewe anisaidie ...plz
Nawasilisha.
Maelezo hayajitoshelezi. Hujasema ni aina gani/model ipi ya simu? (Tecno)Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka lolipop 5.0.2 kwenda marshmallow..so mwenye link au anae weza nipatia link ambayo nitapata iyo OS Iwe ni official verified kutoka kwa agent anaye aminika e.g TECNO wenyewe anisaidie ...plz
Nawasilisha.
Ingekuwa ni samsung it could be so easier and so fast within fww minutes, kwa Techno sifaham kwakweli...sijawahi fuatilia..Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka lolipop 5.0.2 kwenda marshmallow..so mwenye link au anae weza nipatia link ambayo nitapata iyo OS Iwe ni official verified kutoka kwa agent anaye aminika e.g TECNO wenyewe anisaidie ...plz
Nawasilisha.
Mkuu mimi samsung nataka niupgrade pls nielekeze model SM-G925FIngekuwa ni samsung it could be so easier and so fast within fww minutes, kwa Techno sifaham kwakweli...sijawahi fuatilia..
Unatumia Tecno gani???Wakuu ni matumaini yangu mko poa wote..shida yangu ni moja naombeni msaada wenu nataka kudownload formware ya android marshmallow ikiwa kwenye mfumo wa zipped file coz nataka niupgrade OS kutoka lolipop 5.0.2 kwenda marshmallow..so mwenye link au anae weza nipatia link ambayo nitapata iyo OS Iwe ni official verified kutoka kwa agent anaye aminika e.g TECNO wenyewe anisaidie ...plz
Nawasilisha.
nisaidie mi nina sumsung J7Ingekuwa ni samsung it could be so easier and so fast within fww minutes, kwa Techno sifaham kwakweli...sijawahi fuatilia..
Hzi si zinarudishwa Korea? zina makosa ya kiufundinisaidie mi nina sumsung J7
Zenye makosa ni j7 au note 7 mkuu??Hzi si zinarudishwa Korea? zina makosa ya kiufundi
Sikuwa na uhakika maana tangazo nililisikia mwshoni thats why nikaweka kiulizo niko tayar kusahihishwaZenye makosa ni j7 au note 7 mkuu??
Hivi HUAWEI Y541 naweza upgrade??Unatumia Tecno gani???
Hivi HUAWEI Y541 naweza upgrade??Maelezo hayajitoshelezi. Hujasema ni aina gani/model ipi ya simu? (Tecno)
Hivi HUAWEI Y541 naweza upgrade??Unatakiwa uweke hapa model ya simu...
Sio kila firmware inaingia kwenye simu yeyote
Hapana ni note7Hzi si zinarudishwa Korea? zina makosa ya kiufundi
Mi natumia tecno y6Maelezo hayajitoshelezi. Hujasema ni aina gani/model ipi ya simu? (Tecno)