Loliondo ALBUM

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
Kila mtu hataki kupitwa na kikombe
 

Attachments

  • P1000035.JPG
    P1000035.JPG
    78.6 KB · Views: 114
  • P1000042.JPG
    P1000042.JPG
    52.5 KB · Views: 113
  • P1000040.JPG
    P1000040.JPG
    65.2 KB · Views: 120
  • P1000048.JPG
    P1000048.JPG
    102.5 KB · Views: 136
  • P1000044.JPG
    P1000044.JPG
    94.4 KB · Views: 119
  • P1000041.JPG
    P1000041.JPG
    51 KB · Views: 116
  • P1000039.JPG
    P1000039.JPG
    94.6 KB · Views: 161
  • P1000029.JPG
    P1000029.JPG
    104.1 KB · Views: 169
  • P1000046.JPG
    P1000046.JPG
    98.1 KB · Views: 162
  • P1000050.JPG
    P1000050.JPG
    140.1 KB · Views: 130
  • P1000033.JPG
    P1000033.JPG
    120.2 KB · Views: 149
  • P1000026.JPG
    P1000026.JPG
    114.6 KB · Views: 143
  • P1000047.JPG
    P1000047.JPG
    101.3 KB · Views: 123
  • P1000038.JPG
    P1000038.JPG
    102.2 KB · Views: 236
  • P1000034.JPG
    P1000034.JPG
    122.7 KB · Views: 129
  • P1000049.JPG
    P1000049.JPG
    85 KB · Views: 117
  • P1000037.JPG
    P1000037.JPG
    120.3 KB · Views: 124
  • P1000043.JPG
    P1000043.JPG
    60.4 KB · Views: 113
  • P1000031.JPG
    P1000031.JPG
    85.8 KB · Views: 100
  • P1000028.JPG
    P1000028.JPG
    79.8 KB · Views: 100
  • P1000032.JPG
    P1000032.JPG
    112.9 KB · Views: 116
  • P1000036.JPG
    P1000036.JPG
    106.2 KB · Views: 89
  • P1000045.JPG
    P1000045.JPG
    101.5 KB · Views: 95
  • P1000030.JPG
    P1000030.JPG
    87 KB · Views: 100
  • P1000027.JPG
    P1000027.JPG
    77 KB · Views: 115
Kila mtu hataki kupitwa na kikombe


Ni kweli watu kibao!! Ila wasiwasi wangu ni kwamba huo mmea au mti uko mwingi kiasi gani hapo kijijini? maana pamoja na kwamba serikali bado ina sua sua kukubali au kukataa matibabu yanayotolewa na Mchungaji, ni heri wanamazingira na wahifadhi wakafanya haraka kuangalia uwezekano wa kuuotesha au kuuhifadhi mmea huo ili uweze ku- sustain hoyo traffic ya wahitaji. la sivyo baada ya muda utatoweka kabisaa maana nasikia ni mizizi ya huo mmea ndiyo inayo tumika.
 
Ni kweli watu kibao!! Ila wasiwasi wangu ni kwamba huo mmea au mti uko mwingi kiasi gani hapo kijijini? maana pamoja na kwamba serikali bado ina sua sua kukubali au kukataa matibabu yanayotolewa na Mchungaji, ni heri wanamazingira na wahifadhi wakafanya haraka kuangalia uwezekano wa kuuotesha au kuuhifadhi mmea huo ili uweze ku- sustain hoyo traffic ya wahitaji. la sivyo baada ya muda utatoweka kabisaa maana nasikia ni mizizi ya huo mmea ndiyo inayo tumika.

Kaka upo Vizuri mnoo umewaza kitu ambacho hata watu wa mazingira hawaja ki address kabisaaa wamelala usingizi tuu mnonoo au na wao wapo kwanza LOLIONDO halafu wakipona ndo waanze kusema kuwa mazingira yanaharibiwa hahah
 
Wasiwasi wangu ni pale babu atakapotangaza dawa ya utajiri, sijui masharti yake yatakuwaje!!!!!


....UTAJIRI na UHAI (UZIMA) kwa maoni yangu kikubwa zaidi ni UZIMA. Kama hivyo ndivyo Babu akitangaza dawa ya utajiri masharti yake yatakuwa madogo na gharama itakuwa chini ya TZS 500/- (Mia Tano tu)!.

In a serious note, kazi aifanyayo huyu babu si ya kitapeli kama unavyotaka ku-imply. Ameoteshwa na MUNGU ili awasaidie watu. Ingekuwa ni shughuli ya kitapeli au biashara ange-charge bei kubwa na pia angehamia mjini ili apate wateja wengi na matajiri zaidi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom