Logo Mpya ya TTCL

Logo Mpya ya TTCL

Rapherl

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2012
Posts
3,504
Reaction score
2,256
1464269103788.jpg
1464269108964.jpg


Leo wamezindua Logo mpya pamoja na Huduma Ya 4G LTE, je watakuwa wamebadilika pia katika ubora wa huduma zao?
 
logo.png


Ipo freshi, tatizo huduma sasa!
 
ni mawazo na move nzuri, tatizo unakuta kuanzia wizarana mpaka ndani ya shirika lenyewe kuna manyang'au yanafanya vikao na makampuni binafsi ya simu kwa 'ujira mbuzi' ili TTCL iendelee kuchechemea!
 
Nimetumia 4G yao kwa kama mwezi sasa. Wako vizuri sana. Ila wana gharama kidogo, but to me was justifiable...
 
Logo n nzuri sana huyo aliyeweka hapo awali kaiweka vibaya tu kwa interest zake mwenyewe.. Kapiga picha kwenye t shirt iliyo jikunja ili tu logo ikae vibaya
 
Mkuu, ni kweli au hii umechora mwenyewe?
Mbunifu wa logo ya kwanza alikuwa kichwa kuliko huyu aliyebuni hii ya sasa.
Ni kweli imwzinduliwa leo pamoja na hiyo huduma ya 4G
 
Logo n nzuri sana huyo aliyeweka hapo awali kaiweka vibaya tu kwa interest zake mwenyewe.. Kapiga picha kwenye t shirt iliyo jikunja ili tu logo ikae vibaya
Hizo t-shirt ni zao walivaa leo kwenye uzinduzi na wala haijatoka vibaya ni hivyo hivyo tu.
 
Nimeona tangazo lao la tv kama vile wanauza sim card zao kwaajili ya internet, itakuwa vizuri kama sim card zao unaweza kutumia kwenye simu au router nyingine sababu zamani ilikuwa lazima utumie na mobile phone zao
 
Jaman Nani anamjua Mtu au kampuni iliyotengeneza Tangazo Jipya la TTCL???

Nataka kuwapa kazi. Plz anayewafahamu share details
 
Back
Top Bottom