mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
swali la msingi sana nalojiuliza mimi, kama watu wanailaani serikali kwa kutaka kumuua mtu anayeongoza mapambano ya kutaka serikali iwaongezee pesa (kama wanavyodai kwamba serikali inahusika), Kwanini pia hawamlaumu huyu mtu kwa kushirikiana na wenzake kuwaua watanzania wenzao (kwa migomo) kutokana na sababu hiyo hiyo ya fedha