MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
- Thread starter
- #21
nakupata mkuu, ukiishaingia huko nje ya sheria kuna mwanya wa kuwashughulikia na wanaokupinga hata kama wako sahihi.ni sawa tatizo ni kubwa but ubaya wa extra judicial killings mara nying wasiohusika pia nao huuwawa...so ni vyema hili jambo kutazamwa kwa namna mbalimbali
Lakini huyu jamaa hajatokea tu kama dodo chini ya mbuyu, Alikuwa meya wa Davao, Sera zake ni hizohizo za kutowavumilia waarifu. Angekuwa hafai kabisa au anavisasi asingechaguliwa kuwa rais nadhani.