Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,204
- 7,892
Ila sexer huwa unaniachaga hoi ndugu yangu,
Kwani U.S.A ni nani hadi asikoromewe?
ni wapi nimesema US asikoromewe?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila sexer huwa unaniachaga hoi ndugu yangu,
Kwani U.S.A ni nani hadi asikoromewe?
Au Lowasaukitaka upate kiki, koromea US
Hahahaa hatari sana namkubali sana huyu jamaa.... wale matajiri wana jiita papaa nani sijui wangekuwa washachezea shabaHahahaa., yaani nimemaliza kusoma uzi nikajikuta nimetamka maneno yako uliyoanza kuyaandika., "Mamaaae huyo ndo mwanaume"
jana tu kamtukana ule mku wa shirika la UN la haki za binadamu,kasema,'he is an idiot'Atakuwa mgonjwa wa akili huyu. Amekiri kuwa alikuwa anaua wauza ngada mwenyewe kwa mkono wake na umoja wa mataifa tayari wameshaanza kumkoromea. Naona wanamwangalia kwanza akizidisha ujinga tu wanamwondoa. Watamtafutia sababu tu na wakionda mubashara ni noma basi wanakwenda covertly!!!
Mmamaeee huyu ndo mwanaume sasa. Bongo na sisi mapapa ya madawa yangeuliwa hadharani basi mateja leo wangepungua sana
"Ang problema kasi sa puti, itong Amerikanong ulol.. [for] every five Americans kasi, ang tatlo diyan idyoto, dalawa lang ang tama ang utak,"
(The problem with these white people, these American blockheads, is that three out of five of them are idiots, and only two are in their right minds.)
Hayo ni maneno ya Rais wa Ufilipino akiwajibu mahasimu wake US wanaomkosoa kwa hatua kali Dhidi ya Wauzaji wa madawa ya kulevya. Hadi sasa wameshauliwa zaidi ya 3000 na wengine kawaua mwenyewe.
Alimalizia Hotuba yake kwa kusema " If you are destroying my county, I will Kill you"
Duniani kuna mambo
source:Duterte: UN rights chief a joker, idiot ‘3 of 5 Americans idiots’,Philippines' Duterte to U.S. over aid: 'Bye-bye America'
Hatakagi ujinga kabisajana tu kamtukana ule mku wa shirika la UN la haki za binadamu,kasema,'he is an idiot'
Huyo raisi mwenyewe anahitaji kwenda rehab! Ukimwangilia vizuri utagundua dish limeyumba mbaya.Jamaa anakuambia kuna 3million addicts
Alisikitika sana vijana 3million wameshapoteza nguvu kazi kubwa
Aliwapa onyo druglords,pushers wajisalimishe wakakataa ndio katoa order
Halafu druglords wanavikundi vyao vya kimafia sasa wakiretaliate ndio wanauliwa vzr
Ase 3million addicts siyo mchezo
Duterte salute kwako