Kwan Syria,Libya, Iraq, Ukraine zilivyovurugwa Russia alikubali?!, si alikuja kukumbuka shuka kumekucha....Kwani US kaz yake si kufitinisha tu wala huwa hatumii nguvu nyingi, ni akili tu.China&Russia hawawezi kukubali
Je walikuwa na ties na mataifa hayo??Kwan Syria,Libya, Iraq, Ukraine zilivyovurugwa Russia alikubali?!, si alikuja kukumbuka shuka kumekucha....Kwani US kaz yake si kufitinisha tu wala huwa hatumii nguvu nyingi, ni akili tu.
Na inaonyesha huyu Durtete ameshasoma alama za nyakati kuhusu huyu USA.Je walikuwa na ties na mataifa hayo??
Kwanza fahamu ufilipino ni taifa kubwa pia Duterte ameenda uchina kuweka ties na kasema hana shida na USA kwani urusi yupo
Urusi hawezi kukubali mtu wake aingiliwe
Halafu kingine USA hana uwezo wa kumvamia mtu mpaka un security council wapige veto..China&urusi hawatokubali
Issue ya Libya na Syria walitumia kigezo cha demokrasia na maandamano ya RAIA? Ufilipino watatumia nn
Kingine kuhusu mgogoro wa bahari wa ufilipino ,uchina&urusi na USA wanaugombania
USA akileta chokochoko ufilipino anamuachia mazima China
USA anamuhitaji ufilipino awe ally wake sabb ya bahari hiyo ,ndio maana Duterte kawa jeuri na wanayempa ujeuri ni China&urusi ..USA hawezi kufanya chochote mpk un security council iamue
Hebu tofautisha case ya Arab spring na phillipines na juzi tu alikuwa China
Na Duterte ashasema hajali USA asipomuuzia silaha kwakuwa urusi yupo
South sea inampa kiburi Duterte ..akiamua kumpa China na urusi..USA anahaha asimpoteze ufilipino
Duterte hajali
Mmamaeee huyu ndo mwanaume sasa. Bongo na sisi mapapa ya madawa yangeuliwa hadharani basi mateja leo wangepungua sana
Mossad hua hawa hawa hangaiki na mtu ambae sio threat kwao!!they will kill him nakwambia Mossad watafanya yao we subiri uone tu
Hv kwa unavyodhan kat ya Philippine na US nan anamhitaj sana mwenzake.... US Ana nini cha kuchukua Philippines may b kuhusu hyo ishu ya bahar hata hvyo south China sea bado US anao washirika wenye nguvu kama Japan, etc... Hyo ufilipino unayoisifia kwamba ni nchi kubwa kwann ilkua inapokea msaada WA mamilioni ya dola from US kwa ajili ya kuboresha uchumi wao.Half hv unadhan China atakuja kuingia vitan na US kisa Philippines sahau kama alimwambia Kim WA north Korea kwamba akianza kuchapwa na US asitegemee full support ya China kama kwenye Korean war,hv unadhan China yupo radhi kiRisk biashara zake na US zinazomwingizia mabilion ya dola kisa Philippines?!, kama kwa Russia tu yupo mguu nje mguu ndan sembuse Philippines. China yeye anahangaika na economy yake hayo majesh ni kulinda interest zake tu.Je walikuwa na ties na mataifa hayo??
Kwanza fahamu ufilipino ni taifa kubwa pia Duterte ameenda uchina kuweka ties na kasema hana shida na USA kwani urusi yupo
Urusi hawezi kukubali mtu wake aingiliwe
Halafu kingine USA hana uwezo wa kumvamia mtu mpaka un security council wapige veto..China&urusi hawatokubali
Issue ya Libya na Syria walitumia kigezo cha demokrasia na maandamano ya RAIA? Ufilipino watatumia nn
Kingine kuhusu mgogoro wa bahari wa ufilipino ,uchina&urusi na USA wanaugombania
USA akileta chokochoko ufilipino anamuachia mazima China
USA anamuhitaji ufilipino awe ally wake sabb ya bahari hiyo ,ndio maana Duterte kawa jeuri na wanayempa ujeuri ni China&urusi ..USA hawezi kufanya chochote mpk un security council iamue
Hebu tofautisha case ya Arab spring na phillipines na juzi tu alikuwa China
Na Duterte ashasema hajali USA asipomuuzia silaha kwakuwa urusi yupo
South sea inampa kiburi Duterte ..akiamua kumpa China na urusi..USA anahaha asimpoteze ufilipino
Duterte hajali
Hivi nani kati ya hao anaingia katika huo msemo wa Duterte
"Ang problema kasi sa puti, itong Amerikanong ulol.. [for] every five Americans kasi, ang tatlo diyan idyoto, dalawa lang ang tama ang utak,"
(The problem with these white people, these American blockheads, is that three out of five of them are idiots, and only two are in their right minds.)
Hayo ni maneno ya Rais wa Ufilipino akiwajibu mahasimu wake US wanaomkosoa kwa hatua kali Dhidi ya Wauzaji wa madawa ya kulevya. Hadi sasa wameshauliwa zaidi ya 3000 na wengine kawaua mwenyewe.
Alimalizia Hotuba yake kwa kusema " If you are destroying my county, I will Kill you"
Duniani kuna mambo
source:Duterte: UN rights chief a joker, idiot ‘3 of 5 Americans idiots’,Philippines' Duterte to U.S. over aid: 'Bye-bye America'
Kuhusu misaada usishangae mbona nchi ambazo zipo G20 zinapokea misaada kutoka USAHv kwa unavyodhan kat ya Philippine na US nan anamhitaj sana mwenzake.... US Ana nini cha kuchukua Philippines may b kuhusu hyo ishu ya bahar hata hvyo south China sea bado US anao washirika wenye nguvu kama Japan, etc... Hyo ufilipino unayoisifia kwamba ni nchi kubwa kwann ilkua inapokea msaada WA mamilioni ya dola from US kwa ajili ya kuboresha uchumi wao.
Hv unawajua US wewe au unawasikia wakiamua kumwekea vikwazo Yule hafurukuti, half uzuri WA vikwazo ni kwamba huwa vinawaumiza wananchi hasa WA kipato cha chini hvyo akishaanza kuchukiwa na wananchi unadhan kuna nn tena hpo watu wanaingia barabaran kaz inakua imekwisha. Iran wenyewe na mafuta yao kibao walivyoondolewa vikwazo wananchi walishangilia na kugaragara barabaran sembuse hyo Philippines, rejea Obama alivyorudisha uhusiano na Cuba na kuwaondolea vikwazo, uliona wacuba walivyoshukuru.... Cheza na US wewe....ana njia nying za kumwadhibu huyo philiphines kilichobak ni kuchagua tu atumie ipi au aanze na ipi na amalizie na ipi.Kuhusu misaada usishangae mbona nchi ambazo zipo G20 zinapokea misaada kutoka USA
USA anamhitaji ufilipino awe mshirika wake ,sababu ya military base nk ..ufilipino akiwa upande wa urusi pigo itakuwa kwa USA kivyovyote vile sabb urusi atakuwa anaongeza wigo mpana..na pia south sea China akiushikilia itakuwa pigo sababu eneo la Hawaii lipo karibu na south sea
Ujue Duterte hana shida na USA Bali ana shida na Obama&Sera zake..ni kama vile Paul kagame hakuwa na uadui na Tanzania Bali alikuwa na matatizo na kikwete lkn magufuli alivyoingia madarakani tumeona urafiki uliyopo
Halafu Duterte alivyoenda China unajua China amempa ofa gani ufilipino??
China wamempa ufilipino boti za mwendo kasi ,silaha ndogo ndogo na mkopo wa dollar 14.5 billion
China wameondoa meli zao za kivita kuwaruhusu wavuvi wa ufilipino wavue sehemu yenye mgogoro
.
Mwishoni Duterte aliulizwa unakubali vipi $14.5 billion na kwanini usisubiria msaada wa USA unaotoka mwishoni wa mwezi huu.
Duterte alimjibu hivi: "shut up,shut up,I do not need your assistance.Millenium challenge ,400 million?China is going to release to me 50Billion.Go home,I do not need your aid.
Hahaha Duterte jembe sana ase
Duterte aliwaambia mateja wote wajisalimishe sober house au kituo cha polisi na aliwapa mwezi wajisalimishe...Atakuwa mgonjwa wa akili huyu. Amekiri kuwa alikuwa anaua wauza ngada mwenyewe kwa mkono wake na umoja wa mataifa tayari wameshaanza kumkoromea. Naona wanamwangalia kwanza akizidisha ujinga tu wanamwondoa. Watamtafutia sababu tu na wakionda mubashara ni noma basi wanakwenda covertly!!!
Ndio maana viongozi wengi wa nchi mbali mbali wameshukuru Trump kuchukua nchi na siyo Hillary sababu hiyo hiyoHv unawajua US wewe au unawasikia wakiamua kumwekea vikwazo Yule hafurukuti, half uzuri WA vikwazo ni kwamba huwa vinawaumiza wananchi hasa WA kipato cha chini hvyo akishaanza kuchukiwa na wananchi unadhan kuna nn tena hpo watu wanaingia barabaran kaz inakua imekwisha. Iran wenyewe na mafuta yao kibao walivyoondolewa vikwazo wananchi walishangilia na kugaragara barabaran sembuse hyo Philippines, rejea Obama alivyorudisha uhusiano na Cuba na kuwaondolea vikwazo, uliona wacuba walivyoshukuru.... Cheza na US wewe....ana njia nying za kumwadhibu huyo philiphines kilichobak ni kuchagua tu atumie ipi au aanze na ipi na amalizie na ipi.
ukitaka upate kiki, koromea US
Tangu lini foreign policy ya marekani ikabadilika hasa kwenye interest za marekan isitoshe ikihusisha adui yao namba moja kwenye uchumi, China?!.... Wewe ngoja huyo trump aingie utaona km kuna kipya kitabadilika kwenye US foreign policy.Ndio maana viongozi wengi wa nchi mbali mbali wameshukuru Trump kuchukua nchi na siyo Hillary sababu hiyo hiyo
Obama alikuwa hata wale wapinga Sera zake za ushoga hawapi misaada ,kwahili suala la mateja Trump atamuunga mkono Duterte,Trump hanaga maujinga ya Obama&Hillary ,angalia Sera zake anachukia madawa,ushoga nk
Kuhusu umoja wa mataifa ,basi China angewekewa vikwazo angalia sheria zao kuhusu madawa
Mwisho ya yote Obama anaachia ofisi ,Duterte alikuwa anamkashifu Obama tu..na Trump alimpongeza Duterte alivyomkashifu Obama
Vikwazo wanawekewa madictator na watengeneza nucleur ,nchi za demokrasia hawawezi kuwekewa vikwazo Bali watasitisha misaada tu..
Safi sana.huyu si ndiye alimwita Obama mtoto wa kahaba?
balaa sana, hizi species duniani zimepotea siku nyingi. Huyu moto wa kuotea mbali haangalii cha UN wala US.
Kina Chid-Benz,wanapiga show weeeee!! Hafu wakizichanga wanaenda kula sembe wakizidiwa lawama zinakuwa nyingi oooh!! serikali ,oooh!! Rais huyu siyo wa watu son of bitch.Huyu jamaa balaa sana, Tatizo dunia nayo huwa inatetea waarifu bila kuangalia unene na uzito wa tatizo.
Anajua anachokifanya, kuna wakati inabidi uwe mkorofi ili mambo yaende, Mateja wote mwisho wa siku wanaishia kuwa mzigo kwa serikali
Matapeli wa dunia,hatali sana.Hivi nani kati ya hao anaingia katika huo msemo wa Duterte
Kuhusu misaada usishangae mbona nchi ambazo zipo G20 zinapokea misaada kutoka USA
USA anamhitaji ufilipino awe mshirika wake ,sababu ya military base nk ..ufilipino akiwa upande wa urusi pigo itakuwa kwa USA kivyovyote vile sabb urusi atakuwa anaongeza wigo mpana..na pia south sea China akiushikilia itakuwa pigo sababu eneo la Hawaii lipo karibu na south sea
Ujue Duterte hana shida na USA Bali ana shida na Obama&Sera zake..ni kama vile Paul kagame hakuwa na uadui na Tanzania Bali alikuwa na matatizo na kikwete lkn magufuli alivyoingia madarakani tumeona urafiki uliyopo
Halafu Duterte alivyoenda China unajua China amempa ofa gani ufilipino??
China wamempa ufilipino boti za mwendo kasi ,silaha ndogo ndogo na mkopo wa dollar 14.5 billion
China wameondoa meli zao za kivita kuwaruhusu wavuvi wa ufilipino wavue sehemu yenye mgogoro
.
Mwishoni Duterte aliulizwa unakubali vipi $14.5 billion na kwanini usisubiria msaada wa USA unaotoka mwishoni wa mwezi huu.
Duterte alimjibu hivi: "shut up,shut up,I do not need your assistance.Millenium challenge ,400 million?China is going to release to me 50Billion.Go home,I do not need your aid.
Go home i don't need your aid,i like this!!!!
Hahaha Duterte jembe sana ase