Local channel zote bure kwa teksat decoder

Local channel zote bure kwa teksat decoder

Inkoskaz

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
6,359
Reaction score
2,379
Nimeikuta hii kitu 77
inareceive almost local channels zote for free kasoro DTV.Pia kuna Citizen,TV Emanuel,Al Jazeera,African Movies etc
wanakiuza 115,000/= Tshs, no monthly subscription
 
ya nchi gani mkuu?
kama ni tz wana lesseni?
zitakuwa 10 sasa tushaambiwa Bahkreasa nae anakuja na yake
 
ya nchi gani mkuu?
kama ni tz wana lesseni?
zitakuwa 10 sasa tushaambiwa Bahkreasa nae anakuja na yake
itakuwa ni Chinese mkuu
pia nadhani watakuwa na licence maana wanajitangaza waziwazi
 
Duh!!bado cha bakhresa kazi tunayo...tutakuwa na visimbusi mpaka chooni..
 
Nimeikuta hii kitu 77
inareceive almost local channels zote for free kasoro DTV.Pia kuna Citizen,TV Emanuel,Al Jazeera,African Movies etc
wanakiuza 115,000/= Tshs, no monthly subscription

mkuu samahani lakini ukiwa mwana jf umatakiwa uwe mdadisi ungeulizia hiyo kampuni ni ya wapi, ofisi zao ziko wapi,subst. Fees zao zikoje na chanels gani wanazo!!! Ungesaidia wana jf wote!!!!!
 
mkuu samahani lakini ukiwa mwana jf umatakiwa uwe mdadisi ungeulizia hiyo kampuni ni ya wapi, ofisi zao ziko wapi,subst. Fees zao zikoje na chanels gani wanazo!!! Ungesaidia wana jf wote!!!!!
wapo mtaa wa zanaki na pia kama umesoma vema ni kuwa hakuna monthly subscription fee
channel zinazopatikana ni 30 ...ITV,CAPITAL,EAST AFRICA,STAR TV,CLOUDS,TBC,TBC1,ATN,CHANNEL 10,CITIZEN,AFRICAN MOVIES,EMANUEL TV,AL JAZEERA etc et
 
Bora tumsubirie bakhresa anaweza kufanya maana atamuangalia mtu wa kipato cha chini sana .......
 
Natumia startimes na bundle dogo la uchakachuzi lisilolipiwa,napata startv,chnl 10,itv,eatv,tbccm,,emmanuel,tbn,colours,setanta action,aljazeera,cnn,bbc,African movies,K24,Atn,nk. Kwa nini nitoe zaidi ya laki kwa ajili ya local channel tu,ambazo kimsingi zinapaswa kuwa bure
 
mtakoma awamu hii ya 4, subirini na mimi nitakuja na ki-dikoda changu, 😛ainkiller:
 
Hii nchi kweli ni jalala, watunga sera na watunga sheria wote -------.
 
Hivi ving'amuzi inabidi utulie kwanza vinginevyo unaweza ukajikuta kila unachonunua co issue! Nimesha jichanganya na star time saiv naona hakuna cha maana na ubora wa picha na sauti upo chini sana kama anterner ya chadema tu!

hawa waleta ving'amuzi kama wana akili wangeleta king'amuzi maltipurpose kinachotumia kadi za vibg'amuzi mbali mbali, ili ukiona kampuni moja inakuboa bac unanunua kadi ya kampuni nyingine kwa bei poa bac unakula burudani kama kawa! Yaan inakua kama umenunua cm yako ya nokia inayodumu miaja 20 alafu ukiona voda na tigo wana zingua unahamia zako airtel kwa gharama ya kununua chip tu, mathalan line ya airtel inauzwa buku!
 
Back
Top Bottom