Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Tumechezewa mnooo nasema!
na kuna watz wanatumika na mabeberu..nitapambana nao
Tumechezewa mnooo nasema!
Nataka Tanzania ya Neema!!(Neema ipi ww pogba)???Hali ya maisha imekuwa ni kiama huko mtaa.na kuna watz wanatumika na mabeberu..nitapambana nao
mkuu umelipia tangazo ,Baada ya kuona local chennel haziludishwi kwenye kingamzi cha azam nimeamua kufunga kebo uko napata kila kitu. Kukiwa na mechi ya taifa au ligi kuu na laliga na ludi kwenye kigamuzi changu pendwa cha azam.
Kiufupi ata kebo zisingekuwepo siwezi kukosa kulipia kingamuzi cha azam maana burudani nazo zipata ata hyo ela nalipia naona nawapunja.
Emu fikilia morning tramphet, move kali, tamthilia za kutosha kama narjin,sultan na jamal laja ujaweka laliga bado ligi kuu tanzania bara, bira kusahau ndo kingamzi pekee kinaonyesha mechi za taifa stars hiwe nyumbani au ugenini. Mimi nasemaje ata wasipo ludisha local channel siami azam tv.
Kamanda nilijalibu kuonyesha kiasi gani mm ni mdau wa azam tv wala sio mwana hisa wa azam.mkuu umelipia tangazo ,
Fanya tu maamuzi mengine maana local channel AZAM labda nyerere afufukeKwanini AZAM TV hawatwambii kinachoendelea? Tuendelee kusubiri au tufanye maamuzi mengine.