Local Chanel katika King'amuzi cha Azam na DSTV

Local Chanel katika King'amuzi cha Azam na DSTV

Kwanini AZAM TV hawatwambii kinachoendelea? Tuendelee kusubiri au tufanye maamuzi mengine.
 
Waungwana hivi walisema lini watarejesha local Chanel katika ving'amuzi tajwa hapo juu? maana tumechoka kusubiri
Adi wabunge wote watakapo muunga mkono kwakuondoka kwenye vyama vyao na kuungana kupanda track analoliendesha kabla ya kwisha mafuta na Kuzima!!
 
ITV haionekani kwako? Sasa sijui wanatumia utaratibu gani kudefine hizo local channels maana kwangu ni wasafi na clouds ndo hazionekani


dstv?mbn ipo tbc tu mkuu?au mie sijaangalia muda? maana nikirudi nakuta cartoon saa2 siwki tbc naenda kulala..mayb ipo
 
dstv?mbn ipo tbc tu mkuu?au mie sijaangalia muda? maana nikirudi nakuta cartoon saa2 siwki tbc naenda kulala..mayb ipo
Huko zilitolewa muda mrefu sana ,wanasema leseni ya DSTV na Azam haziruhusu kuonesha local channels isipokuwa TBC tu, mpaka wabadilishe leseni zao
 
Back
Top Bottom