KingPower
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 1,143
- 1,886
Habar za wakati wakuu,
Nina mpango wa kuchukua mkopo Mwaka ujao (Kwa ajili ya kutimiza ndoto zangu)
Ila nimestushwa kidogo na hii Ada ya loan processing fee,
Maana kuna mfanyakazi mwezangu kachukua mkopo wa 11mil Kwa miaka 8
Ila cha ajabu kakatwa laki 8 na 58 elfu,
Uki plus na riba mpaka mkopo wake kuisha anarejesha around 15mil.
Wakati yeye kapewa Kama 10.12mil
Sasa najiuliza hii Ada ya mkopo (loan processing fee) ni Kwa ajili ya nin?
Je kuna benk nzuri ambayo haina hii Ada?
Aiseee hii inaumiza
Wenye kujua sehemu sahihi (taasisi au benk) za kupata mikopo nafuu naomba atusaidie
Nina mpango wa kuchukua mkopo Mwaka ujao (Kwa ajili ya kutimiza ndoto zangu)
Ila nimestushwa kidogo na hii Ada ya loan processing fee,
Maana kuna mfanyakazi mwezangu kachukua mkopo wa 11mil Kwa miaka 8
Ila cha ajabu kakatwa laki 8 na 58 elfu,
Uki plus na riba mpaka mkopo wake kuisha anarejesha around 15mil.
Wakati yeye kapewa Kama 10.12mil
Sasa najiuliza hii Ada ya mkopo (loan processing fee) ni Kwa ajili ya nin?
Je kuna benk nzuri ambayo haina hii Ada?
Aiseee hii inaumiza
Wenye kujua sehemu sahihi (taasisi au benk) za kupata mikopo nafuu naomba atusaidie
