mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
Natafuta kazi ya afisa mikopo katika institution yeyote au mabenk, ninao uzoefu wa kazi hiyo kwa miaka miwili, ninajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza vizuri. Ninao uwezo na uzoefu wa kuwapa wakopaji mafunzo ya biashara na namna ya kutumia hela ya mkopo kabla ya kuwakopesha,pia ninao uzoefu na uwezo kutafiti wakopaji wa mkopo(client Loan assessment) kabla ya kuwapa mkopo kuepuka wakopaji wabaya, nina uwezo wa kutumia computa vizuri. Elimu yangu ni stashahada ya juu ya uhasibu. Tafadhari kwa kampuni yenye kazi hiyo naomba tuwasiliane kwa namba 0787556571. Asanteni.