Loan heslb deni kumbe haliishagi?

Loan heslb deni kumbe haliishagi?

RASAK

Member
Joined
Sep 28, 2014
Posts
19
Reaction score
8
Mi nimiongoni mwa wanufaika wa mkopo ambao hivi sasa naulipa kupitia makato ya mshahara nimeenda ofisi ya bodi kuhakiki deni lililobaki naambiwa nitofauti nakias kinachosomeka kwenye salary sleep eti retention fees ongezeko ni asilimia 6 kwa mwaka hivyo kadri unavyolipa kwa miaka mingi na fees inaongezeka du
 
Mi nimiongoni mwa wanufaika wa mkopo ambao hivi sasa naulipa kupitia makato ya mshahara nimeenda ofisi ya bodi kuhakiki deni lililobaki naambiwa nitofauti nakias kinachosomeka kwenye salary sleep eti retention fees ongezeko ni asilimia 6 kwa mwaka hivyo kadri unavyolipa kwa miaka mingi na fees inaongezeka du
 
Mi nimiongoni mwa wanufaika wa mkopo ambao hivi sasa naulipa kupitia makato ya mshahara nimeenda ofisi ya bodi kuhakiki deni lililobaki naambiwa nitofauti nakias kinachosomeka kwenye salary sleep eti retention fees ongezeko ni asilimia 6 kwa mwaka hivyo kadri unavyolipa kwa miaka mingi na fees inaongezeka du
Mie najiandaa kwakweli kulipa deni lote kwa mkupuo. Inachosha sana kuona haliishi.
 
Yana mwisho hayo, kwa kifupi hasa wale wenye mishahara kiduchu hilo deni wanakufa nalo na hata mjukuu hataweza kulimaliza kama watategemea 15%ya mshahara.
Wametumia dhulma kubwa sana kwenye mikopo hiyo, penalty na retention fees ni dhulma inayofanywa na serikali hii kwa kisingizio cha kurejesha mikopo eti wawakopeshe wengine.
 
Yana mwisho hayo, kwa kifupi hasa wale wenye mishahara kiduchu hilo deni wanakufa nalo na hata mjukuu hataweza kulimaliza kama watategemea 15%ya mshahara.
Wametumia dhulma kubwa sana kwenye mikopo hiyo, penalty na retention fees ni dhulma inayofanywa na serikali hii kwa kisingizio cha kurejesha mikopo eti wawakopeshe wengine.
Boss Value ya money inashuka kila siku. Ndio maana kunakuwa na ada ya kuretain pesa.
Elfu 10 ya mwaka 2010 sio sawa na ya mwaka 2018. Hivyo kuna kuna kila haja ya kuwa na riba
 
Hatukatai value for money lakin iweje retention rate ibaki ileile ya mwanzo wakat den linapungua kila mwaka?
 
Mi nimiongoni mwa wanufaika wa mkopo ambao hivi sasa naulipa kupitia makato ya mshahara nimeenda ofisi ya bodi kuhakiki deni lililobaki naambiwa nitofauti nakias kinachosomeka kwenye salary sleep eti retention fees ongezeko ni asilimia 6 kwa mwaka hivyo kadri unavyolipa kwa miaka mingi na fees inaongezeka du

Halafu ukute wewe ni mwalimu wa lugha
 
Back
Top Bottom