Aliyeomba, mwenye vigezo vinavyokubalika ndio anaweza kupata.Waliopata na waliokosa hawajajulikana,namanisha HESLB hawajafunguka kwa hiyo usihofu walioapply katika second round pia wanahusika kwenye mchakato kama waliomba, kama hawakuomba ni mpaka baadaye wakishapata chuo kama watakuwa na vigezo vinavyokubalika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.