LL.B. ni shahada ya kwanza ya sheria.Hii humfanya mtu kuwa Mwanasheria na kazi zinazoendana na hizo kama Uwakili nk.B.A. Law Enforcement ni kozi mpya pale UDSM ambayo kimsingi haimfany mtu kuwa Mwanasheria.Hii inafundisha Sanaa na sheria kidogo kama wale wa Stashahada(Diploma) na Astashahada(Cheti) cha Sheria.Hii ilianzishwa ikiwalenga hasa wasimamizi wa sheria kama wanajeshi,maafisa usalama,TAKUKURU,magereza na polisi.BA Law Enforcement haimfanyi mtahiniwa kuwa na sifa za kuwa Wakili. Kwa maelezo hayo,ni vyema ukasoma LL.B...