Huwa nina cheka sana haka kaushamba basi tu.Hapo patamu subiri sumu imwagwe. Wanakuja sasa hivi.
hahaha mkuu ni kweli maana hiyo ni kama kulinganisha ronaldo na donald ngomaAcha kulinganisha LL.B ya udsm na mambo ya kipumbavu
Udsm unaifananishaje na SHULE za Kata????
Achen kufananisha law ya Udsm na vitu vya kijinga
Mtataka sana kuifananisha elimu ya UDSM na mivyuo yenu mingine mliyoisoma /mtakao kwenda kusoma e.t.c
Lakini toka miaka yetu hata sasa UDSM itabaki kuwa chuo chenye hadhi kubwa. Kwenye ajira vyuo vinaangaliwa sana. Ambao wanafanya job selection watakuambia
Tuliosoma UDSM na wadogo zetu wanaoendelea kusoma hapo tutabaki kuwa tofauti. ..kwenye ajira tunauzika
NISAIDIENI JAMANI WAKUUHaya wamekuja mnawasikia. Tufunge vyuo vyote tubakize UDSM-TCU mpo?
Hivi mlima (udsm) na kichuguu (vyuo vya mchangani) kikubwa ni kipi?Naomba kujua utofauti na ubora wa kozi za sheria kwa LLB ya UDSM na Tumaini Mkumira kwa ubora, soko ajira na ukubalikaji wake..
Acha kufananisha UDSM na vitu vya kipumbavuNaomba kujua utofauti na ubora wa kozi za sheria kwa LLB ya UDSM na Tumaini Mkumira kwa ubora, soko ajira na ukubalikaji wake..
100% trueFirst class ya Makumira = lower second ya UDSM
hahahaha mkuu unawaabisha wakoloni wetuJina la Chuo tu but lack of competence UDSM Is nothing you find the graduate doesn't know even to express himself /herself competence is what is needed so UDSM watch out
bwana mdogo nimewahi kukutana na walimu wa field wa advance ni matabralaza wa kiwango cha PHD.hahahaha mkuu unawaabisha wakoloni wetu