MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Huyu mbunge anajaribu kusimama bungeni eti anadai kua kuna wabunge wa UKAWA walioko nje ya bunge,wanakutana kwenye chai huku wakimtuma yeye ati awasemee bungeni! Hivi huyu mbunge anaweza kumsemea nani? Kuna mbunge gani ndani ya UKAWA anaweza kujitoa akili amtume mtu kama Lusinde amsemee bungeni? Kwa kipi labda? Maana tangu aingie bungeni yeye anajua kuongelea matusi tu.
Kwanini Lusinde haoni haya kusema maneno mengi kwa kukaukiwa mate mdomoni sijue kua yeye siku zote hupuuzwa? Angesema hata jina la mbunge mmoja basi athibitishe kweli kua hua anatumwa! Mtu mzima kutokwa mishipa kuongelea kitu usichothibitisha ni unafki na uongo uliokubuhu.
Mtu kama Lusinde hata shule hana ni darasa la saba pure kama yule wa Geita vijijini watasema nini sasa bungeni? Eti hawa nao ni watunga sheria maskini! Hiki ni kishibitisho kua muhimili wa bunge unazidi kukosa hadhi yake ya kipekee kwa kuingiliwa na baadhi ya watu mizigo.
Kwanini Lusinde haoni haya kusema maneno mengi kwa kukaukiwa mate mdomoni sijue kua yeye siku zote hupuuzwa? Angesema hata jina la mbunge mmoja basi athibitishe kweli kua hua anatumwa! Mtu mzima kutokwa mishipa kuongelea kitu usichothibitisha ni unafki na uongo uliokubuhu.
Mtu kama Lusinde hata shule hana ni darasa la saba pure kama yule wa Geita vijijini watasema nini sasa bungeni? Eti hawa nao ni watunga sheria maskini! Hiki ni kishibitisho kua muhimili wa bunge unazidi kukosa hadhi yake ya kipekee kwa kuingiliwa na baadhi ya watu mizigo.