Livingston Lusinde amkejeli Zitto

Livingston Lusinde amkejeli Zitto

Akili za mjinga huwaza ujinga Lusinde ni mbunge wa CDM?
Mkuu mimi hata Sijaelewa hawa Jamaa wanajibizana nini, hoja kasema lusinde......mwingine anasema anawasumbua hapo ufipa........Ngoja niendelee kusoma maana ulivyowapa Ukweli wanaweza kubadili muelekeo.
 
Ndo utajua wanasiasa wanawaza nini vichwani mwao.

Siasa Ni ujasiliamali tu kama ujasiliamali mwingine, watu wanawaza kupiga pesa tu.

Kutegemea eti chama fulani kinapigania ustawi wa raia ni kujipumbaza tu.
Ndio maana kwangu kila nikiwaza siasa hasa za Tanzania nakumbuka tume ya mzee Warioba na rasimu yake. Hii ni kwa sababu alishaliona kuwa siasa ni ujasiliamali kwa 98% na rasimu yake ilitaka kupunguza huu ujasiliamali angalau mpaka 30% kutoka hiyo 98% kitu ambacho kingelisaidia taifa!

 
Watanzania sasa wamejua Zitto Kabwe amehamia katika chama chake cha ACT ambacho alikuwa alikianzisha kupitia watu wake na yeye ndiye mmiliki na mmoja ya waasisi wakuu tangu kuanza kwake hiyo ikiwa ni kabla hajafukuzwa CHADEMA.
Sasa kama amepewa kadi ya uanachama ACT ni kukamilisha tu taratibu lakini sijui kama kubadhiwa usiku kumefuata taratibu za chama hiko.
 
Katika wabunge ccm waliobugi ni lusinde, jamaa mweupe kabisa mbona deo sanga si msomi lakini ana akili na kafanya makubwa makambako , huyu lusinde hakuna alichofanya Mtera, Tutampigia kampeni LE MUTUZ alichukue hilo jimbo, Lusinde ana mambo ya kitoto sana
Le Mutuz wa mabeebbbzzz????:shocked::shocked::shocked:
 
Kwa hiyo hoja za Lusinde kwa sasa mnaziona zina maana.

Kila siku mlikuwa mnasema hana hoja, leo kwa vile ameongea hoja inayokoleza matamanio yenu, kwa sasa anaheshimika.

Naona kwa sasa mnakosa mpaka usingizi hapo Ufipa.

Shughulikeni na maisha yenu ya kisiasa hapo Ufipa.

Maisha na Siasa za Zitto mwachieni Zitto.


Hata saa mbovu kuna wakati inasema/onyesha ukweli
 
Zitto ameharibu kila kitu sana utabaki umaarufu usiokuwa na tija kwake wala kwa taifa
 
Wanafiki wanajuana, Zitto anaishi kwa usaliti yeye anaishi kwa matusi bora yupi
14876_1419478201697438_7012528372118511142_n.jpg
 
[h=5]ivingstone Lusinde
[/h]March 15 at 9:41pm ·





Asante Zitto kwa kutugaiwa jimbo sasa kazi ni kwetu tushindwe wenyewe..Tunakushukuru sana Zito Kabwe kwa kuwa mwema kwetu, sasa wacha tukapambane na hao Manyang'au ole wao yamsimamishe mgombea tutashinda kwa asilimia 99. Zitto hoyeee, CCM Hoyeeee
 
Back
Top Bottom