Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Katika wabunge ccm waliobugi ni lusinde, jamaa mweupe kabisa mbona deo sanga si msomi lakini ana akili na kafanya makubwa makambako , huyu lusinde hakuna alichofanya Mtera, Tutampigia kampeni LE MUTUZ alichukue hilo jimbo, Lusinde ana mambo ya kitoto sana
Lusinde ni matusi tu na sielewi elimu yake iko vipi huyu jamaa maana haoni hata aibu mbele za watu