Livingston Lusinde amkejeli Zitto


Lusinde ni matusi tu na sielewi elimu yake iko vipi huyu jamaa maana haoni hata aibu mbele za watu
 

Mkuu msamehe bure maana ccm sasa wamechanganyikiwa mbaya juu ya speed ya cdm
 
Lusinde sio chizi ila nimegundua kua anayoyafanya hua anafanya kwa makusudi. Kibajaj amemsih vzr sana Zzk

Lusinde siyo chizi bali uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo sana kutokana na elimu yake
 
kuna hii pia kamshukia Laigwanani kinoma
 

Lusinde ana mambo ya kitoto sana,LE MUTUZ je?
 
kwa wenye muono wachache tushajua zitto is digging his political grave.
hata Kama Ana watu wanam fund lakini tambua kwamba hao ma masters wake IPO siku watachoka hasa baada ya uchaguzi mkuu.
kuendesha chama cha siasa sio lele mama,inaitaj resources za kutosha from grass root level to national .yaani nawambia ACT inakufa baada ya uchaguzi,hapo zzt atakuwa ashamaliza kazi aliyopewa na ccm,uwt he will be a free man,kashaweka pesa kibindoni nani wa kumdai
 
Huyu Lusinde kwa nini hakumshauri mapema ahamie CCM, kwani alivyosikia amefukuzwa cdm si alijua kuwa atahamia Chama kingine? sasahivi hayo maneno aliyosema yamemsaidia nini Zito au yameisaidiaje jamii? wakati mwingine awe anajitahidi kufikiri kidogo.
 

Lusinde hajielewi
 
lusinde aache kuropoka kuna dogo samweli anakunyemelea hapo mtera,mwaka huu huna chako anza kufungasha virago vyako
 
Mh. Kibajaji Hivi una ugomvi binafsi na Zitto? maana Bungeni ulimkalia kooni kuhusu zile tuhuma za kuvuta fweza za TANAPA, sasa na huku mtaani bado tu umemkomalia kulikoni??

Mwenzio anataka demokrasia ya kweli - na hiyo kwa mtazamo wake haimo ndani ya chama chochote cha siasa kilichosajiriwa kikiwamo hata chama cha kwako!! na ndiyo maana kaamua kusajiri cha kwake na kujiunga nacho !! sasa gogoro nini Mh. Kibajaji??
 

mkuun le mutuz si atakuja na le mbebez jimboni? yule mzee anaekula bata ndio tegemeo lenu?
 

Wewe umeona kuna mtu kamsifia hapo au hujui kusoma
 
Lusinde mnafiki sana! Si angekwenda kumshauli ili ajiunge na CCM a.k Chama Cha Majungu!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…