Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
Kwa hiyo hoja za Lusinde kwa sasa mnaziona zina maana.
Kila siku mlikuwa mnasema hana hoja, leo kwa vile ameongea hoja inayokoleza matamanio yenu, kwa sasa anaheshimika.
Naona kwa sasa mnakosa mpaka usingizi hapo Ufipa.
Shughulikeni na maisha yenu ya kisiasa hapo Ufipa.
Maisha na Siasa za Zitto mwachieni Zitto.
Sasa angetaka amsifie ZZK kuhamia ACT? He is quite right, CCM na ACT ni Vitu viwili tofauti.Mbunge wa Mtera-CCM,Livingstone Lusinde aka Kibajaji amemkejeli mwanachama mpya wa ACT-Tanzania,Zitto Kabwe kwa kumuambia kuwa amepotea. Lusinde amesema kuwa kitendo cha Zitto kuhamia ACT badala ya CCM ni kupotea kisiasa na kufuata umaskini.
Lusinde amemtaka Zitto kujiandaa kuiendesha ACT kwa pesa zake. Pia,amemkejeli kwa kumuuliza kwanini amehamia usiku-alikuwa anaroga? Lusinde aliwahi kumshukuru Zitto kwa kuiachia CCM Jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Andika vya maana kijana
MTT
Kwa hiyo hoja za Lusinde kwa sasa mnaziona zina maana.
Kila siku mlikuwa mnasema hana hoja, leo kwa vile ameongea hoja inayokoleza matamanio yenu, kwa sasa anaheshimika.
Naona kwa sasa mnakosa mpaka usingizi hapo Ufipa.
Shughulikeni na maisha yenu ya kisiasa hapo Ufipa.
Maisha na Siasa za Zitto mwachieni Zitto.
katika wabunge ccm waliobugi ni lusinde, jamaa mweupe kabisa mbona deo sanga si msomi lakini ana akili na kafanya makubwa makambako , huyu lusinde hakuna alichofanya mtera, tutampigia kampeni le mutuz alichukue hilo jimbo, lusinde ana mambo ya kitoto sana
Kwa hiyo hoja za Lusinde kwa sasa mnaziona zina maana.
Kila siku mlikuwa mnasema hana hoja, leo kwa vile ameongea hoja inayokoleza matamanio yenu, kwa sasa anaheshimika.
Naona kwa sasa mnakosa mpaka usingizi hapo Ufipa.
Shughulikeni na maisha yenu ya kisiasa hapo Ufipa.
Maisha na Siasa za Zitto mwachieni Zitto.
ZZK anawasumbua sana CDM maana kila kitu ZZK
ZZK anawasumbua sana CDM maana kila kitu ZZK
LE MUTUZ labda akagombee ubunge chalinze huko mtera wananchi wameshachoka kuongozwa na mbunge wa ccm .hilo ni jimbo la chadema wala CCM msihangaike.Katika wabunge ccm waliobugi ni lusinde, jamaa mweupe kabisa mbona deo sanga si msomi lakini ana akili na kafanya makubwa makambako , huyu lusinde hakuna alichofanya Mtera, Tutampigia kampeni LE MUTUZ alichukue hilo jimbo, Lusinde ana mambo ya kitoto sana
Kwa hiyo wewe leo unaona hoja za Lusinde hazina maana? Kila siku ulikuwa unasema ana hoja nzuri, leo kwa vile kaongea hoja inayopingana na matamanio yako, kwa sasa unamdharau?Kwa hiyo hoja za Lusinde kwa sasa mnaziona zina maana. Kila siku mlikuwa mnasema hana hoja, leo kwa vile ameongea hoja inayokoleza matamanio yenu, kwa sasa anaheshimika.