Living forever nini

Living forever nini

Kama yupo hapa dar, aje ksho diamond house karibia chuo cha ifm majira ya saa Tisa kutakuwa na semina ya hyo kitu
 
mwenye uelewa aseme kuna shemeji yangu ananiuliza anataka kujiunga

Kwa maana ya hilo bandiko lako ni kuishi milele lakini naamini ulimaanisha FOREVER LIVING zile dawa zisizo na kelimali zinazotibu magonjwa mengi kwa wakati mmoja ambapo watumiaji wake wengi ni watu wenye uwezo na zina ujanja ujanja mwingi
 
ni wizi mtupu imenitenga na mke wangu
 
ni wizi mtupu imenitenga na mke wangu
 
ni wizi mtupu imenitenga na mke wangu

Hahaha pole aisee. Mmetengana kabisa au mama kawa busy ni Forever? Maana ile kitu inahitaji commitment ya ajabu na kwa mke wa mtu ni mtihani especially kama akitaka kupata mafanikio ya fasta fasta. Ila ongea naye kwa utaratibu azingatie wajibu wake kwa familia kama mke. Mimi pia naifanya but my husband comes first sijaruhusu iniibie muda wa kuwa mke na mama nyumbani
 
Hahaha pole aisee. Mmetengana kabisa au mama kawa busy ni Forever? Maana ile kitu inahitaji commitment ya ajabu na kwa mke wa mtu ni mtihani especially kama akitaka kupata mafanikio ya fasta fasta. Ila ongea naye kwa utaratibu azingatie wajibu wake kwa familia kama mke. Mimi pia naifanya but my husband comes first sijaruhusu iniibie muda wa kuwa mke na mama nyumbani

nmeambiwa ni majambaka poa nitamshauri aache
 
Back
Top Bottom