DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Baada ya mshambuliaji wa Liverpool, Diogo Jota kupata ajali leo asubuhi na kufariki dunia, klabu hiyo imeistahafisha jezi namba 20 iliyokuwa inavaliwa na nyota huyo raia wa Ureno.
Soma,Pia: Mshambuliaji wa Liverpool Diogo Jota, afariki dunia katika ajali ya gari
Jota alipata ajali hiyo leo alipkuwa nchini Hispania na amefariki akiwa na mdogo wake walipokuwa pamoja ndani ya gari dogo.
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo kutoka nchini Italia Fabrizio Romano amethibitisha taarifa hizo kwa kuandika katika ukurasa wake wa Instagram.
Soma,Pia: Mshambuliaji wa Liverpool Diogo Jota, afariki dunia katika ajali ya gari
Jota alipata ajali hiyo leo alipkuwa nchini Hispania na amefariki akiwa na mdogo wake walipokuwa pamoja ndani ya gari dogo.
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo kutoka nchini Italia Fabrizio Romano amethibitisha taarifa hizo kwa kuandika katika ukurasa wake wa Instagram.