idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,050
- 1,401
Kutoka Studio za Azam TV, Tabata; kinachoendelea ni uzinduzi wa chaneli mpya ya Azam Sports HD ikishereheshwa na Florian Kaijage.
Afisa Mtendaji Mkuu: Kama umelipia kifurushi chochote, unatakiwa kuongeza TZS 15,000.00 ili kupata LaLIGA.
Charles Hillary: Jiandaeni kupata mambo mazuri zaidi. Michezo mbalimbali itaonyeshwa kwenye chaneli hiyo.
Charles Hilary akiwa ndiye kiongozi wa timu ya watangazaji wa michezo pamoja na wachambuzi, amekitaja kikosi anachokiongoza kinachoundwa na watangazaji na wachambuzi wafuatao;
Watangazaji:
1. Charles Hilary
2. Baruani Mhuza
3. Patrick Nyembelan
4. Philipo Cyprian
5. Twalib Omary
6. Ahmed Abdallah
7. Rehema Jarufu
8. Shezia Mugilwa
9. Michael Malue
Wachambuzi:
1. Eddo Kumwembe
2. Ally Mayay
3. Jeff Lea
4. Karly Ongala
5. Hussein Sappi
Afisa Mtendaji Mkuu: Kama umelipia kifurushi chochote, unatakiwa kuongeza TZS 15,000.00 ili kupata LaLIGA.
Charles Hillary: Jiandaeni kupata mambo mazuri zaidi. Michezo mbalimbali itaonyeshwa kwenye chaneli hiyo.
Charles Hilary akiwa ndiye kiongozi wa timu ya watangazaji wa michezo pamoja na wachambuzi, amekitaja kikosi anachokiongoza kinachoundwa na watangazaji na wachambuzi wafuatao;
Watangazaji:
1. Charles Hilary
2. Baruani Mhuza
3. Patrick Nyembelan
4. Philipo Cyprian
5. Twalib Omary
6. Ahmed Abdallah
7. Rehema Jarufu
8. Shezia Mugilwa
9. Michael Malue
Wachambuzi:
1. Eddo Kumwembe
2. Ally Mayay
3. Jeff Lea
4. Karly Ongala
5. Hussein Sappi