CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Lazima mtu akae leo.
Goli 5 zinawatosha sana hawa wakuja.
Updates:
Dk 87.
Yanga 4-1 S.C.Villa
Goli 5 zinawatosha sana hawa wakuja.
Updates:
Dk 87.
Yanga 4-1 S.C.Villa
Lazima mtu akae leo.
Goli 5 zinawatosha sana hawa wakuja.
Msije mkakimbia jukwaa kama jana.mkuu utajongea taifa?
Msije mkakimbia jukwaa kama jana.
Mkuu jana hakukuwa na msisimko, subiria leo usikie maafa taifa.
Jana mechi ilichezwa kipindi cha kwanza. Kipindi cha pili kilikuwa mahususi kupamba sherehe za Simba. Ngojeni ligi ianze mtakumbuka maneno yangu.
Na villa "wamewasaidia" simba kujiona wako fiti.
Na hivyo kuleta amani ya muda msimbazi. Rage hatari sana kwa fitna. Hakuna anayekumbuka kuhoji ajenda sita zilizorukwa maksudi mkutanoni. Kweli mwanaume simba amebaki bi Hindu pekee.
Lazima mtu akae leo.
Goli 5 zinawatosha sana hawa wakuja.
Msije mkakimbia jukwaa kama jana.
Mkuu hawa Villa leo watakomaa sana, jiandae kupokea matokeo yoyote yale. Nimeangalia kwenye msimamo wa ligi yao walimaliza wa Nne baada ya kucheza mechi 30, kushinda 13, sare 8, kushindwa 9 na kujikusanyia pointi 47 hivyo siyo timu ya kubeza. Yanga tuingie kwa nguvu zote kama vile tunacheza na Azam. Mungu ibariki Tanzania. Mungu ibariki Yanga Afrika.
Nawatakia heri ya ushindi Villa japo leo wanauchovu, waichape Yanga (Analog) kichapo cha paka mwizi.
Hiyo dua yako mshirikishe KITOABU, lakin baada ya dk 90 lazima uikubali yangaNawatakia heri ya ushindi Villa japo leo wanauchovu, waichape Yanga (Analog) kichapo cha paka mwizi.