MARKYAO
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 673
- 682
We are very happy for these great news.hongereni sana makamanda.ben,mtoi,mungi big up.safi sana chadema Arusha , tunaomba mtupatie idadi kamili ya kura niagize katibu jangili A (ndovu) kama 20 hivi.
We are very happy for these great news.hongereni sana makamanda.ben,mtoi,mungi big up.safi sana chadema Arusha , tunaomba mtupatie idadi kamili ya kura niagize katibu jangili A (ndovu) kama 20 hivi.
ushabiki wa kitoto kweli. We upo nyuma ya komputa apo kinondoni af unadanganya watu
Wazee wa kimasai chini ya USTADH ABDALA LOWASA WAINGIA MITINI.
hivi hizi kata 4 zilikuwa chini ya Imaya ya chama gani kabla ya uchaguzi?
huku kwetu ELERAI tayari watu wako barabarani wakiongozwa na LEMA.Wakuu,
Tutawaletea updates kuhusu chaguzi zitakazoanza katika kata za Elerai, Kaloleni, Kimandolu na Themi.
Bila kuweka ushabiki wa vyama, Jf Arusha tutawaletea kila kitakachokuwa kikijiri kwenye maeneo yote ya uchaguzi.
Muda huu nimepita maeneo ya Kaloleni, watu wameanza kupanga foleni kwenye ofisi ya mtendaji ya kata kwa ajili ya kupiga kura, naelekea maeneo ya Kimandolu ambapo ndiyo kuna wapiga kura wengi kulinganisha na kata zote za jiji la Arusha, ikifuatiwa na Elerai. Nitawajuza kila kinachojiri.
Kwa kuwaweka sawa wanaJf, tumeona Jf member Filipo atarusha mawe Kaloleni, Crashwise Elerai, Daudi Mchambuzi Themi, Arushaone, Mungi, Freedom Of Flag na Bahati1 watakuwa Kimandolu. malcom2, GanjaPlanter na olevaroya wakuwepo pia kutupia updates.
Mods tafadhali msiunganishe uzi huu na ule wa Taswira maana una mwelekeo wa siasa ya upande mmoja
MORE UPDATES!!!!
Kituo cha Shule ya Msingi Kimandolu ''A'' 1
CDM 64
CCM 34
Kura mbili zimeharibika
==== Updates ======
hivi hizi kata 4 zilikuwa chini ya Imaya ya chama gani kabla ya uchaguzi?
Wakuu,
Tutawaletea updates kuhusu chaguzi zitakazoanza katika kata za Elerai, Kaloleni, Kimandolu na Themi.
Bila kuweka ushabiki wa vyama, Jf Arusha tutawaletea kila kitakachokuwa kikijiri kwenye maeneo yote ya uchaguzi.
Muda huu nimepita maeneo ya Kaloleni, watu wameanza kupanga foleni kwenye ofisi ya mtendaji ya kata kwa ajili ya kupiga kura, naelekea maeneo ya Kimandolu ambapo ndiyo kuna wapiga kura wengi kulinganisha na kata zote za jiji la Arusha, ikifuatiwa na Elerai. Nitawajuza kila kinachojiri.
Kwa kuwaweka sawa wanaJf, tumeona Jf member Filipo atarusha mawe Kaloleni, Crashwise Elerai, Daudi Mchambuzi Themi, Arushaone, Mungi, Freedom Of Flag na Bahati1 watakuwa Kimandolu. malcom2, GanjaPlanter na olevaroya wakuwepo pia kutupia updates.
Mods tafadhali msiunganishe uzi huu na ule wa Taswira maana una mwelekeo wa siasa ya upande mmoja
MORE UPDATES!!!!
Kituo cha Shule ya Msingi Kimandolu ''A'' 1
CDM 64
CCM 34
Kura mbili zimeharibika
==== Updates ======
Hivi this time hapakua na...........
View attachment 102284
kwa hiyo mbinu zote za magamba zimeshindwa? au kuna vitu bado vinahesabiwa?
Wakuu,
Tutawaletea updates kuhusu chaguzi zitakazoanza katika kata za Elerai, Kaloleni, Kimandolu na Themi.
Bila kuweka ushabiki wa vyama, Jf Arusha tutawaletea kila kitakachokuwa kikijiri kwenye maeneo yote ya uchaguzi.
Muda huu nimepita maeneo ya Kaloleni, watu wameanza kupanga foleni kwenye ofisi ya mtendaji ya kata kwa ajili ya kupiga kura, naelekea maeneo ya Kimandolu ambapo ndiyo kuna wapiga kura wengi kulinganisha na kata zote za jiji la Arusha, ikifuatiwa na Elerai. Nitawajuza kila kinachojiri.
Kwa kuwaweka sawa wanaJf, tumeona Jf member Filipo atarusha mawe Kaloleni, Crashwise Elerai, Daudi Mchambuzi Themi, Arushaone, Mungi, Freedom Of Flag na Bahati1 watakuwa Kimandolu. malcom2, GanjaPlanter na olevaroya wakuwepo pia kutupia updates.
Mods tafadhali msiunganishe uzi huu na ule wa Taswira maana una mwelekeo wa siasa ya upande mmoja
MORE UPDATES!!!!
Kituo cha Shule ya Msingi Kimandolu ''A'' 1
CDM 64
CCM 34
Kura mbili zimeharibika
==== Updates ======
mmmh kila kada hapa Ofisi ya CCM mkoa wa Arusha anaanza kukimbia, sijui kwa nini hawataki kusubiri mpaka mwisho tukafanya tathmini.
Wazee wa kimasai chini ya USTADH ABDALA LOWASA WAINGIA MITINI.