Live Updates: Twiga Stars Vs Namibia

Wakuu mbona wachezaji wetu wengi wana majina ya kiislam?au wa dini hiyo ni wachezaji wazuri?
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Ahsantee.gif
 
Yap mkuu...Wauzri sana hawa mabinti....Hii ni timu pekee ya soka nchini ambayo hutuwakilisha kwenye mashindano makubwa barani Afrika na mara zote hujitahidi...

Tayari timu hii imeshiriki AFCON ya wanawake, COSAFA ya wanawake(walialikwa) na All Africa games......Na nina imani mwezi Novemba watatupeleka Equtorial Guinea hawa....Cha msingi ni kuelekeza nguvu zote kwa timu hii,achana na habari za Taifa Stars ambao hawana faida yoyote kwa michezo nchini

unanitia kichefuchefu ukitaja 'taifa starz' yamesaidiwa sana,mara makocha hovyoooo! Shwain!
 
Hongereni warembo, msiende kula bata tuu na kusahau mazoezi. Kama wale wengine........
 
Itakuwa vizuri kama wakishinda angalau wa tz nao wacheke,maana kila siku heri ya jana!
Kazi ipo!
 
Twiga Stars 5-2 Namibia

Aggregate: Twiga Stars 7-2 Nambia

Twiga watakutana na mshindi wa mechi ya Misri na Ethiopia

Big Up Mkuu!

Asante kwa updates zote. Bahati mbaya hakuna LIKE au THANKS kwy mobile version ningekutwangia.

Asante!
 
Ngoja mkuu wa kaya arudi ni lazima atawaita Ikulu, Akazione hizo chenga za huyo mzaramo mnaemsifia.
Kama ajaomba faragha na dada.
 
Tuombe turuhusiwe tutumie team ya wanawake kwenye mashindano ya wanaume tu ndio iliyobaki.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom