Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Mpira umekwisha twiga imetoka uwanjani na mabao 5,namibia wawili.
Mbona haueleweki mkuu?mhh kaka imetokea tu leo nao kungara bt cyo kwa sababu hyo
Inabidi tuwekeze kwenye hii timu kuliko ile ya wanaume, angalau hawa wanaonyesha kandanda safi
Yap mkuu...Wauzri sana hawa mabinti....Hii ni timu pekee ya soka nchini ambayo hutuwakilisha kwenye mashindano makubwa barani Afrika na mara zote hujitahidi...icje ikafika kwenye ile dozi ya 7dayz wakuu,du nadhani misaada yote ielekezwe kwao maana kwa matokeo haya ha2na ubishi