LIVE updates: Taifa Stars vs Bafana Bafana

Bongo tunaboa sana Star TV wameingiwa kwikwi na sasa eti wanaonyesha highlights za BundesLiga duh tupo nyuma 1-0
 
TBC na Mkurugenzi wao mpya nadhani watajikita zaidi kuonesha Ziara za JK, NAPE, Pinda na CCM tu, ingawa kodi zetu ndo zinalipa mishahara pale
 
Vipi matokeo yapoje mpaka sasa wakuu! kuna dalili zozote za kurudisha hilo bao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom