Hao jamaa zangu walishakata tamaa, Rage anavuruga watu sana ukizingatia na timu zetu hizi za Kariakoo ambazo hazina vyanzo vya maana na badala yake vinategemea matajiri waingia mifukoni ndo wachezaji nao wanajikuta wamevurugika kabisa, nawakumbuka majemadari wangu Mwina Kaduguda na Mzee Dalali, pamoja na yule mhindi Kassim Dewji.
Mkuu wangu huwa nakuaminia sana lakini kwa post yako hii mbona unataka kuniangusha, kwani Simba wanafanya mazoezi kwenye bomba la mvua. Au unamanisha zile imani zetu za wazee wetu?
Mkuu wangu huwa nakuaminia sana lakini kwa post yako hii mbona unataka kuniangusha, kwani Simba wanafanya mazoezi kwenye bomba la mvua. Au unamanisha zile imani zetu za wazee wetu?