Live Updates: SIMBA Sports Club vs TP Mazembe

Leo Wazembe ni wanakula 2...
Nakuunga mkono kwa ilo. Naamini Mazembe atoki salama leo! Ila kideo kilichowekwa hapo juu na Ivuga kinaonyesha Simba hasa Kaseja hawakuwa makini. Na kama wataendeleza huu ubishororo watapigwa wao mabao.
 

Hii kitu iko dunia nzima kaka...haikwepeki.

Wee angalia England, ambako haya mambo ya patriotism wenzetu walianza kuya-practice hata kabla msamiati "uzalendo" haujagota kwenye kamusi zetu za huku.

Nakumbuka mwaka 2007 kwenye UEFA Champions League final kati ya Liverpool vs AC Milan, Alex Fergurson alimwahidi Ancelloti chupa ya whisky/wine endapo AC Milan wangeshinda...AC Milan wakashinda na huku akiwa na furaha kubwa, Ferguson akatimiza ahadi yake!

Sembuse huku uswahilini (Bongo) bwana?

Nyie Simba jipangeni kushinda gemu, period...hivi visingizio vya uzalendo vitawapotezea focus bure!
 
banka yupo benchi ila timu ni nzuri,mabeki na viungo ni wengi zaidi
 
Simba wataipiga Tp mazembe kimaneno na si kivitendo, nawatakia game njema ila msiache kutoa updates maana naona kipigo kipo pamoja nanyi
 
Kuna makosa ya kijingajinga yanayofanyika kwa upande wa simba yanayoweza kutukosti.... Samataaaaaa.....dah anakosa goli la wazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…