Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

yani kwenye bumbum best collabo ndo waliniacha hoi kwa upande wa vanesa kufanya kazi nao kumemsaidia kuwa nomineted ila dai collabo give him strength

sasa collable gani zimefanya poa mwaka jana???

Wimbo haujafanya vizuri kwenye chart za redio tz tu, ila zile ni tuzo za Afrika sio kariakoo au mpwapwa
 
wizkid mi ndo kaniacha hoi kaomba kura cku moja tu ila wengine wakiamka tu tangazo vote for me tz jiamini mwanaume kama wizikidayo au p square co kila cku matangazo click bio to watch click bio to vote whaaat #wizikidayo

Mkuu unaangaika naomba mhakikishe tembo hawapandi tena ndege
 
wizkid mi ndo kaniacha hoi kaomba kura cku moja tu ila wengine wakiamka tu tangazo vote for me tz jiamini mwanaume kama wizikidayo au p square co kila cku matangazo click bio to watch click bio to vote whaaat #wizikidayo

wizkid mwaka jana alikuwa na nominations 3, hakupata hata tuzo moja...
psquare the same tuzo za mtv mara ya mwisho sijui ni lini,.. kati ya mastaa wasio na nyota na tuzo psquare wanaongoza...

Na sio kama anajiamini, yeye alishasema tuzo hazinifanyi kuwa msanii bora, kila mtu na msimamo wake..

Mbona hukumuongelea kibakuli alivyomppigia magoti wema amsaidie ktma??
 
wizkid mi ndo kaniacha hoi kaomba kura cku moja tu ila wengine wakiamka tu tangazo vote for me tz jiamini mwanaume kama wizikidayo au p square co kila cku matangazo click bio to watch click bio to vote whaaat #wizikidayo
Hayo yalikuwa maamuzi yake
 

Save your energy darln!
 

acha uongo ww 1.wimbo mkali kivipi unaujua marioroza (edy kenzo) unatusua huko kimataifa sasa unazungumzia ukali gani 2.kigezo cha video nzuri pia ni uongo marioroza umechukua tuzo lakini quality sifuri bet au "am i wrong" video mbovu lakini zinasumbua billboard chat 3.collabo ya daimond na ya omy dimpozi (hello baby) avril umeiskia ww

kiufupi walee jamaa msanii wa tz ukisimama mwenyewe bila niger hawakuchagui ndo kama tunavyoona vanesa na dai
 
Najuwa team haters mioyo inawaenda mbio kama mshale wa saa mbovu hahaha

Huyo kibakuli wenu hana lolote wala hafahamiki huku.. Diamond ndio msanii pekee ambae ametoa performance sehemu zote za muhimu tatu za mtv..

Hivi utoto utaachaga lini?
Unaboa mpaka.Muda wote unawaza ujinga ujinga....unawawaza hao hater kuliko unavojiwazia wewe na maisha yako.
Utatokwa roho bure na haya mambo ya ushabiki.
 
na suala la kukusanya audience kwa hiyo davido na wizkid wanashindwa na dai kwa influence yakuvutia mashabiki hivi unamjujua wizkid au unamchukuliaje yule jmb acha ushabiki sema uhalisia #wizikidayo
 
Last edited by a moderator:
wizkid mi ndo kaniacha hoi kaomba kura cku moja tu ila wengine wakiamka tu tangazo vote for me tz jiamini mwanaume kama wizikidayo au p square co kila cku matangazo click bio to watch click bio to vote whaaat #wizikidayo

Stress mbaya hahahaha,

Dadeki mbona mtakoma..

Nyinyi level zenu mama ntilie tour, ndio mtapatia tuzo hukoo.. hizi level za wanaume wenye uwezo sio wanaoishia kuota usingizini... Kibakuli leo naona hata pilau halishuki hahahahaha hapana chezea chibu dangote

KUONA KAMA ALIKIBA ANAMKOSI SANA ANGALIA HIVIII

+SIKU DIAMOND ANACHUKUA 3 CHANNEL O kibakuli ilikuwa ni birthday yake 29, nov badala hata ya kupata birthday wishes kila mtu alikuwa bize kumpongeza chibu dangote MR. Icon

+SIKU DIAMOND ANATENGENEZA MAMILIONI MCITY 1may
kibakuli ndio alipata bahati mbaya na majanga ya kuvamiwa

+SIKU YA LEO DIAMOND ANATENGENEZA HISTORIA MTV
kibakuli amejifungia kariakoo anakesha analia, maana anajua fikra kura alizompigia davido hazifikii tulizompigia chibu dangote, hana amani hata cha kupost insta hakuna kila post anakutana na matusi daaah so bad ndio watz
 
Mambo yame kwiva!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…