Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,568
Wasalaam wana jamvi! Bila shaka sikuu imekuwa njema kwa kila mtu!
Leo kuna tukio kubwa kwenye tasnia ya burudani Africa nalo ni tunzo za MTV zitakazo fanyika Durban leo!
Wanamuziki wa tanzania wanatarajiwa kung'ara kwa kurudi na tunzo nyumbani kwa huu ni mwaka wetu na ni mwaka wa mafanikio zaidi!
Watanzania wanao wania tunzo hizo ni Diamond platinumz ambaye yuko kwenye vipengele vitatu;
:Msanii bora wa kiume
:Mtumbuizaji bora
:Wimbo bora wa kushirikiana!
- Vannesa Mdee naye anawania tunzo ya msanii bora wa kike!
Ni ukweli ulio wazi Diamond anatarajiwa kunyakua na atanyakua tunzo zisizo pungu mbili(2), Huku Vannesa akirudi nyumbani na tunzo ya msanii bora wa kike!
Pamoja na utoaji wa tunzo tunatarajia kushuhudia show ya Diamond, Davido na wengine wengi!
Basi msikae mbali na TV zenu (Dstv) na pia tutajuzana hapa kila kinachotokea huko!
===
Updates - 1
Diamond ameshinda tunzo ya Mtumbuizaji bora (Best live Act MTVMAMA 2015)
Updates - 2
Best group...
P. Square (Kundi bora) MTVMAMA
Updates - 3
Best pop & alternative goes to Jeremyloops! MTVMAMMA
Updates - 4
Personality of the year award goes to Trevor Noah (SA) MTVMAMA
Updates - 5
Evolution award goes to Dbanj (Nigeria) MTVMAMA!
Updates - 6
Best Female awards goes to Yami Alade! MTVMAMA
Updates - 7
Best Male award goes to Davido! MTVMAMA
\
Updates - 8
Best Hip Hop awards
Cassper Nyavost (SA) MTVMAMA
Updates - 9
Best New Act award goes to Pantoraking (Nigeria) MTVMAMA!
====
Some facts we should not forget;
Davido - nominations 4 kapata 1
wizkid - nominations 3 hajapata
Diamond - nominations 3 kapata 1
AKA - nominations 3 kapata 1
East Africa wasanii 5 aliyepata ushindi 1 Diamond
Hakika huyu ni muwakilishi wetu mzuri sana...
Hail to the king Diamond! Hongera sana Diamond Platinumz!
Leo kuna tukio kubwa kwenye tasnia ya burudani Africa nalo ni tunzo za MTV zitakazo fanyika Durban leo!
Wanamuziki wa tanzania wanatarajiwa kung'ara kwa kurudi na tunzo nyumbani kwa huu ni mwaka wetu na ni mwaka wa mafanikio zaidi!
Watanzania wanao wania tunzo hizo ni Diamond platinumz ambaye yuko kwenye vipengele vitatu;
:Msanii bora wa kiume
:Mtumbuizaji bora
:Wimbo bora wa kushirikiana!
- Vannesa Mdee naye anawania tunzo ya msanii bora wa kike!
Ni ukweli ulio wazi Diamond anatarajiwa kunyakua na atanyakua tunzo zisizo pungu mbili(2), Huku Vannesa akirudi nyumbani na tunzo ya msanii bora wa kike!
Pamoja na utoaji wa tunzo tunatarajia kushuhudia show ya Diamond, Davido na wengine wengi!
Basi msikae mbali na TV zenu (Dstv) na pia tutajuzana hapa kila kinachotokea huko!
===
Updates - 1
Diamond ameshinda tunzo ya Mtumbuizaji bora (Best live Act MTVMAMA 2015)
Updates - 2
Best group...
P. Square (Kundi bora) MTVMAMA
Updates - 3
Best pop & alternative goes to Jeremyloops! MTVMAMMA
Updates - 4
Personality of the year award goes to Trevor Noah (SA) MTVMAMA
Updates - 5
Evolution award goes to Dbanj (Nigeria) MTVMAMA!
Updates - 6
Best Female awards goes to Yami Alade! MTVMAMA
Updates - 7
Best Male award goes to Davido! MTVMAMA
\
Updates - 8
Best Hip Hop awards
Cassper Nyavost (SA) MTVMAMA
Updates - 9
Best New Act award goes to Pantoraking (Nigeria) MTVMAMA!
====
Some facts we should not forget;
Davido - nominations 4 kapata 1
wizkid - nominations 3 hajapata
Diamond - nominations 3 kapata 1
AKA - nominations 3 kapata 1
East Africa wasanii 5 aliyepata ushindi 1 Diamond
Hakika huyu ni muwakilishi wetu mzuri sana...
Hail to the king Diamond! Hongera sana Diamond Platinumz!