Mpira bongo bado, kama yule mchezaji aliyebaki na kipa angefunga tungekuwa na mchezo mwingine, vile vile hawakujiandaa vya kutosha - huwezi kuchezewa nusu uwanja kwa dakika 40 bila kufungwa, that's a very serious mistake by the coach and senior players, Timu za kiarabu siku zote ni kimeo kwa Watanzania lakini west African countries hawakubali huo ujinga.
Kitu kingine kinachochangia kuanguka kwa soka bongo ni kupendelea wachezaji wanaocheza kwenye club za Simba na Yanga au wale walioko Dar es salaam zaidi. Kama hii nchi hawatarudisha mashindano ya Umiseta pamoja na kufanya michezo ni kipau mbele katika kutangaza nchi pamoja na kuwalipa vizuri wanamichezo tutafungwa kila mwaka. Kipimo chetu isiwe East Afrika competitions ... .... .... .... Poleni mashabiki wenzangu wa michezo ... ..