Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

Tuondolee ukichaa Wako hapa

mpanda jr usihangaike naye jukumu ulilonalo leo la covarage ya mkutano ni kubwa sana.mpotezee tu huyo ni miongoni wa vijana wa lumumba kazi yao ni kutibua ili uanze kujibizana naye na kuacha hoja ya msingi.
Tunasubiri updates
 
Nami nipo hapa mkutanoni nataka nianze kurusha picha mdogo mdogo
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370089181578.jpg
    89.7 KB · Views: 278
Taratiibu ntaendelea kuzitupia picha maana wadau wanaendelea kumiminika
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370089320964.jpg
    95 KB · Views: 511
Na mimi leo nipo makamanda!kwa mara ya kwanza nimeshudia mji ukisimama kwa muda pale dr.wa ukweli alipokua anapita,yaani hadi wamama wauza matunda wanaonyesha vidole viwili juu!YAANI FULL MSISIMKO!
 
Naamu salaam hii
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370089561631.jpg
    126 KB · Views: 247
Wenye vibinti vyao wavichunge kwasababu babu ndiyo ugonjwa wake huo.

mama yako aliumwa mkanda wa jeshi akiwa na mimba yako ndo maana ubongo wako haufanani na wengine
 
Hiyo kazi ya bavicha enye heshima zao hawataenda huko hamna kipya.
 
Salaamu za utambulisho hapa zikiongozwa na bwana Tumbo
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370089808529.jpg
    96.9 KB · Views: 210
Tumbo anasema haki inaanza kupatikana pale ulipo
 
Wenye vibinti vyao wavichunge kwasababu babu ndiyo ugonjwa wake huo.
Kutukana watu waliokuzidi umri sio siasa, ni utovu wa nidhamu. Utapinga lkn ujumbe umekufikia.
 
Salaamu za utambulisho hapa zikiongozwa na bwana Tumbo

MKUU Laurence PAMOJA PAMOJA SANA..... BILA SHAKA PICHA ZAIDI ZINAKUJA... LETA PICHA

USISAHAU KUTUJUZA KINACHOONGELEWA

PAMOJA SANA,... HOPE UKO FULL CHARGE...
MUNGU AKUPE NGUVU

Cc; Ritz, sumu chama, wingu, bungeni.. Shelui, juliana wa kufyozwa, mwalimu mwamakotoni, Mgonjwa Lukosi a.k.a chilisosi...et al..vijana woote wa buku 7 Lumumba, ETI NI KWELI MORO TOWN NI NGOME YA CCM???
 
Naamu kama mnavyoona wadau wanazidi kutiririka
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370090061220.jpg
    128.8 KB · Views: 3,328
  • uploadfromtaptalk1370090114428.jpg
    66.3 KB · Views: 180
  • uploadfromtaptalk1370090147350.jpg
    106.2 KB · Views: 178
  • uploadfromtaptalk1370090201253.jpg
    125.8 KB · Views: 156
  • uploadfromtaptalk1370090251213.jpg
    90.6 KB · Views: 164
  • uploadfromtaptalk1370090323690.jpg
    75.6 KB · Views: 3,300
  • uploadfromtaptalk1370090498159.jpg
    63.4 KB · Views: 441
Kila lililo la heri dr. Slaa, kila mtanzania anayelipenda taifa letu kwa dhati, yuko nyuma ya chadema, yuko nyuma ya kina slaa, lissu,mnyika na wengine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…