Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.
hata wewe Allah akutoe giza machoni ili uone!Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.
jamaa amewafunga kamba pinda yuko songea na mbowe nae aruhusiwe kuhutubia songea? yatakuwa ni maajabu
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.
kuna watu walisema M4C imekufa wako wapi?
Wakuu.
Leo majira ya saa 9, M/kiti wa CHADEMA Taifa, kamanda Freeman Mbowe akiandamana na viongozi kutoka Makao Makuu na wabunge wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, atakuwa na mkutano wa hadhara mjini Songea, Ruvuma, ikiwa ni sehemu ya ukamilishaji wa uzinduzi wa Kanda ya Kusini (Mtwara, Ruvuma na Lindi).
Mapokezi makubwa (maandamano)yataanzia eneo la Bomba mbili. Mbali ya ku-set agenda za masuala mbalimbali, kisiasa, kijamii na kiuchumi, ambayo CHADEMA inasimamia kwa ajili ya Watanzania, pia atazungumzia masuala kadhaa, zikiwemo kauli za Mzee/Viongozi Wastaafu (ref. Mwananchi ya leo) kuwa wanapaswa kuwa statesmen, hasa katika kushauri taifa kushughulikia primary contradictions kwa ajili ya kutatua matatizo yanayoikabili nchi na Watanzania, badala ya (wao) kutumika kufanya propaganda kwa kuzungumzia secondary contradictions (mfano suala la amani linafanyiwa propaganda sana), huku taifa likiangamizwa na CCM.
Updates combination Tumaini Makene na Mohamedi Mtoi itakujuza kila linalo jiri.
Mkutano utakuwa viwanja vipi? Nipo songea,nataka nikawape live updates + photos
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.
Mbowe siyo mwanasiasa.
mkuu ulinzi uimarishwe kikamilifu kwa ujio huo wa mwenyekiti wa taifa tumejifunza mengi tukio la arusha .
Mkutano unafanyika uwanja wa stendi ya maroli Songea mjini.
Wakuu.
Mbali ya ku-set agenda za masuala mbalimbali, kisiasa, kijamii na kiuchumi, ambayo CHADEMA inasimamia kwa ajili ya Watanzania,