live updates:Mbowe akihutubia wilayani mpanda mjini

live updates:Mbowe akihutubia wilayani mpanda mjini

Watu wako njiani foleni, ngoja wafike nyumbani kazi ianze, asante sana androids!!! Tunapiga hadi usiku wa manane, si rahisi kujua aliye Tz, Marekani wala Ulaya!!! Wote macho tu na simu zetu na laptop!! Techolojia bwana!!!

Mkuu tunachapa kazi huku pembeni tuna phone zetu tunapata update...Raha sana..
 
mbunge wao pimbi sana bana ...hakuna analojua anafuata mkumbo tu wa akina Zitto...yule Alfi alijua akijiuzuru ataleta mpact kubwa sana sasa wenzie wamemtazama tu wala hawajahangaika naye....hahaaa alfi usifanye hivi bana

Nimeipenda hii, mzee Arfi kabebwa sana na Chama lakini inavyoonekana usaliti uko ndani ya mifupa yake! Aibu sana
 
Mkuu tunachapa kazi huku pembeni tuna phone zetu tunapata update...Raha sana..

Sure mkuu maana ni lazima kieleweke. Mambo ya kudanganya toto yamepitwa na wakati. Niko hapa nagonga tuuu. Siku si nyingi magamba watakuwa chama cha upinzani.
 
Back
Top Bottom